Rais Lungu ana ‘kibarua’ kutimiza ahadi lukuki alizotoa kwa Wazambia
Katika uchaguzi huo uliokuwa na ushindani mkali kutoka kwa mgombea wa chama cha upinzani, Hakainde Hichilema, Lungu aliapishwa huku wapinzani wakiamini kuna mchezo mchafu ulichezwa ili kumwingiza Ikulu, kwa kuwa aliwahi kufanya kazi kwa karibu na Rais Michael Satta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania06 Jun
JK: Rais ajaye ana kibarua kigumu
Na Mwandishi Wetu,
RAIS Jakaya Kikwete amesema rais ajaye atakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania inaendelea kubaki kuwa moja kwa kudumisha umoja huo unaotokana na muungano wa nchi mbili.
Kikwete alitoa kauli hiyo siku chache baada ya makada wa chama hicho kuanza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Hadi sasa waliochukua fomu ni mawaziri wakuu wa zamani, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, Makamu wa Rais,...
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mmasai mwenye jamii ya...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata
Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K5uJsZr3gmc/VYVkiiycGKI/AAAAAAAC7J0/TPkNN-oU1Fo/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MDAU PALLA ANA KWA ANA NA RAIS MSTAAF BENJAMINI MKAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-K5uJsZr3gmc/VYVkiiycGKI/AAAAAAAC7J0/TPkNN-oU1Fo/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-waMUcq5bzCQ/Voa56-WmsLI/AAAAAAAIP0Q/PL0YKuXaoXc/s72-c/CWGIW8YWsAEaGmQ.jpg)
JPM awakuna wananchi wenye ulemavu, wamshukuru kwa kutimiza ahadi ya kuwakumbuka katika uongozi wake
10 years ago
VijimamboRais Edgar Lungu wa Zambia Aandaa Dhifa Kwa Heshima ya Rais Jakaya Kikwete
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Askofu asema JPM ana kibarua kigumu
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Profesa Ndalichako ana kibarua cha kuiokoa elimu nchini
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
JK aombwa kutimiza ahadi
WANANCHI wa Jimbo la Ulanga Magharibi mkoani Morogoro, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kutimiza ahadi yake ya uchaguzi za mwaka 2010, ya kuwapatia wilaya mpya kwa mipaka ya kimajimbo. Walisema kuwa...