Rais Edgar Lungu wa Zambia Aandaa Dhifa Kwa Heshima ya Rais Jakaya Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye alikuwa katika ziara ya siku mbili nchini Zambia tayari amerejea jijini Dar es...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Rais Edgar Lungu kutibiwa nje ya Zambia
10 years ago
GPLJK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPhOajM*QTBZvBB6aHp2D0HtCcMT77Zbty0sopSF69xPwGD*JDkHHVGHmwwDTNKS4xDSm3GGBaoYlTyqN8wMA6U/Pichana0.jpg?width=750)
RAIS JAKAYA KIKWETE AMUANDALIA RAIS WA UJERUMANI DHIFA YA KITAIFA YA CHAKULA CHA USIKU, IKULU
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6Ysr6DL3jO4/VmJ6pFk4dgI/AAAAAAAIKQ4/1WBqMx_XT0E/s72-c/39b5ceaa-6dcd-4c0d-8eb2-ee91b75e5c83.jpg)
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete atunukiwa Heshima ya Companion Award na Commonwealth Partnership for Technological Management (CPTM)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JtAjU20_bas/U9CpM5wiz7I/AAAAAAAF5Xk/yb8PW7LeZrg/s72-c/b1.jpg)
RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA WANANCHI WA BAGAMOYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-JtAjU20_bas/U9CpM5wiz7I/AAAAAAAF5Xk/yb8PW7LeZrg/s1600/b1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pT0nzt4LVa8/U9CpOZSJqoI/AAAAAAAF5X4/VUUHTIbsbzQ/s1600/b2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s6iKVKOx-hI/U9Ad0sn9W7I/AAAAAAAF5So/ANKRC4J--po/s72-c/unnamed+(24).jpg)
RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA WANANCHI WA MIKOA MIWILI YA PEMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKMK25NmLUGHXEQZ5GKU5JVkyvgFEfUU9K69EgUZ*pCLnxj1tKa7uQ13Gv*wnnUNIcIUR*8WQNjrxg0AMoAhDBTg/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU IKULU, DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s72-c/_MG_6315.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s1600/_MG_6315.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_qQH8e8P1E/VRbgPh0cAvI/AAAAAAAHN5g/1Zv8BQkIGFc/s1600/_MG_6291.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjbF-KM_Q-4/VRbVSuxesGI/AAAAAAAC2eM/l86bvXxpXAk/s1600/_MG_6213.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...