Watakiwa kushikamana, kutimiza ahadi zao
MWANASIASA mkongwe wilayani Mpwapwa, Issack Chibwae amewataka viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu kushikamana na kuhakikisha ahadi walizotoa kwa wanachi zinatekelezwa kwa ukamilifu wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e_BSt0N2fhg/VS38yR3GjMI/AAAAAAAHRLg/N7cabi7Remg/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
VIONGOZI WA COASTAL UNION WATAKIWA KUSHIKAMANA
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
JK aombwa kutimiza ahadi
WANANCHI wa Jimbo la Ulanga Magharibi mkoani Morogoro, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kutimiza ahadi yake ya uchaguzi za mwaka 2010, ya kuwapatia wilaya mpya kwa mipaka ya kimajimbo. Walisema kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s72-c/_MG_6453.jpg)
KINGUNGE AWATAKA WANACCM KUSHIKAMANA NA KUZIKA TOFAUTI ZAO ILI KUPATA USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s640/_MG_6453.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-69n8_eYeKbU/VaZhKwT1LEI/AAAAAAAC8kA/Ik2GxrZzM5w/s640/_MG_6474.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Tibaijuka: Nimejipanga kutimiza ahadi zangu
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema mikakati aliyojiwekea kwa sasa ni kutimiza ahadi alizowapa wapigakura na kutekeleza Ilani ya Uchanguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Aliyasema hayo kwenye ziara ya Rais Jakaya Kikwete mikoa ya kusini mwa Tanzania, ambako walipokewa kwa shangwe na kundi la wananchi kutokana na kufanikiwa kutatua kero nyingi za ardhi zilizokuwa katika maeneo yao.
Utatuzi huo ulihusisha pia kumnyang’anya ardhi mwekezaji...
11 years ago
Mwananchi01 Jul
KUTIMIZA AHADI: Aveva agoma kujifunga Simba
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EpX3FsPLOIg/VJ_hFA02RrI/AAAAAAAG6G8/i9C8MLmHXpY/s72-c/salma-pps.jpg)
WAKAZI WA MKOA WA LINDI WATAKIWA KUSHIKAMANA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII ILI KUJILETEA MAENDELEO - MAMA SALMA KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpX3FsPLOIg/VJ_hFA02RrI/AAAAAAAG6G8/i9C8MLmHXpY/s1600/salma-pps.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
Rai hiyo imetolewa jana Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Mitwero Stendi Kata ya Rasibura wilayani humo.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alisema mkoa wa...
10 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wakazi wa mkoa wa Lindi watakiwa kushikamana na kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo — Mama Salma Kikwete
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
Rai hiyo imetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha...
9 years ago
Bongo519 Oct
Ommy Dimpoz kutimiza ahadi ya kuachia album mwezi December
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Refund: Ujio Mpya, Johari Ameanza Kutimiza Ahadi Yake!
Mrembo na muigizaji wakike wa filamu mwenye kipaji cha hali ya juu, Blandina Chagula “Johari” ameanza kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwaka jana kuwa mwaka huu ni mwaka wa kazi tu.
Ameanza na hii, ingawa hakuweka wazi ni lini hasa itaingia sokoni, filamu yake hii mpya inayokwenda kwa jina la Refund ambayo pamoja nae,wakali kama Juma Chikoka ‘Chopamchopanga’ na Haji Adam na wengine wengi wameshiriki kwenye filamu hii.
Kwamaneno mafupi Johari alisema;
“Kama nilivyoahidi mashabiki wangu 2015...