MAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI
![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDVMvu6rU873NlR8Hbvh7kh3ErPP5cc0dg2SxF3IxVi3rwUy2PzT2MwBk3kst7PFmHF5tkcmgaEzgS3aPK7yaQf/mafufu.jpg?width=650)
Waandishi wetu KUMEKUCHA! Nyota wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu ameibuka na kuwa msanii wa kwanza kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nyota wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu. Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Mafufu alisema amefikia uamuzi huo baada ya kuombwa na wananchi wa jimbo hilo kwa vile mbunge wa sasa, Mheshimiwa Joseph Mbilinyi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Sugu: Nimetekeleza ahadi zangu Mbeya Mjini kwa asilimia 90
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FlrZdkCbMvY/VZMLHklLQxI/AAAAAAAABTo/AOYt6gnlbuA/s72-c/Mapokezi%2BSugu.jpg)
MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LxvMl_N0rUs/VaNWMT99dnI/AAAAAAAHpQc/a1blBPwPumg/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA AMVAA MCHUNGAJI MSIGWA UBUNGE IRINGA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LxvMl_N0rUs/VaNWMT99dnI/AAAAAAAHpQc/a1blBPwPumg/s320/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Sugu: Nimeituliza Mbeya
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
9 years ago
MichuziMBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA
11 years ago
Mwananchi08 Aug
9 years ago
TheCitizen07 Oct
Shitambala -Sugu race talking point in Mbeya
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Sugu: Meya ajaye atakuwa ‘moto’ Mbeya