Sugu awalaumu polisi kurusha mabomu Mbeya
Mwandishi Wetu, Mwananchi
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOANI MBEYA LAKAMATA MALI ZIDHANIWAZO KUWA ZA WIZI, WAKAMATA WAHARIFU SUGU
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine wa usalama ali inayopelekea kupata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kupungua kwa matukio makubwa ya uhalifu pamoja na ajali za barabarani.
KUPATIKANA NA MALI ZIDHANIWAZO KUWA ZA WIZI. Jeshi la...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FlrZdkCbMvY/VZMLHklLQxI/AAAAAAAABTo/AOYt6gnlbuA/s72-c/Mapokezi%2BSugu.jpg)
MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Sugu: Nimeituliza Mbeya
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Risasi, mabomu yarindima Mbeya
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDVMvu6rU873NlR8Hbvh7kh3ErPP5cc0dg2SxF3IxVi3rwUy2PzT2MwBk3kst7PFmHF5tkcmgaEzgS3aPK7yaQf/mafufu.jpg?width=650)
MAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI
9 years ago
TheCitizen07 Oct
Shitambala -Sugu race talking point in Mbeya
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Sugu: Meya ajaye atakuwa ‘moto’ Mbeya
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Sugu: Nimetekeleza ahadi zangu Mbeya Mjini kwa asilimia 90