Risasi, mabomu yarindima Mbeya
Maji ya kuwasha, mabomu na risasi za moto jana zilirindima jijini hapa kwa takriban saa mbili mfululizo, kutokana na waendesha bodaboda kuwazuia polisi waliokuwa wakimwokoa mtu anayedaiwa kushiriki njama za kumuua mwendesha pikipiki mwenzao, Zizza Mwambenja juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mabomu yarindima Nigeria
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Mabomu yarindima bomoabomoa Dar
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabomu yarindima jijini Mwanza
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mabomu ya machozi yarindima Mwanza
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Mabomu yarindima Kiteto Kura za maoni
NA BEATRICE MOSSES, MANYARA
JESHI la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewatawanya wananchi wa eneo hilo kwa kutumia mabomu ya machozi, baada ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kuvamiwa na wananchi.
Kabla ya vurugu kuibuka wananchi wa Kata ya Engusero walifunga barabara na kuwazuia wajumbe hao kufika Kiteto kuhakiki matokeo ya kura za maoni ya ubunge wa chama hicho.
Katika vurugu hizo wananchi hao walimvamia mbunge aliyemaliza muda wake, Benedict Ole...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Mabomu ya machozi yarindima mkutano wa mgombea wa CCM
10 years ago
Vijimambo10 Feb
Mabomu yarindima kuzima uvamizi kituo cha polisi
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi na silaha za moto, kuzima maandamano ya wafugaji wa jamii ya Kimasai kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, waliokuwa wamejipanga kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi Sanya Juu, Wilaya ya Siha mkoani hapa.
Wafugaji hao wanadaiwa walikuwa wakishinikiza kiongozi wao anayeshikiliwa (jina halijafahamika), kuachiwa na Polisi Wilaya ya Siha.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mabomu yarindima Dar:Ni wakati polisi wakizuia maandamano ya CUF