Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Risasi, mabomu yarindima Mbeya

Maji ya kuwasha, mabomu na risasi za moto jana zilirindima jijini hapa kwa takriban saa mbili mfululizo, kutokana na waendesha bodaboda kuwazuia polisi waliokuwa wakimwokoa mtu anayedaiwa kushiriki njama za kumuua mwendesha pikipiki mwenzao, Zizza Mwambenja juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mabomu yarindima Nigeria

Watu wapatao ishirini na watano wamekufa kufuatia shambulio la bomu katika jimbo la Adamawa Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabomu yarindima bomoabomoa Dar

Operesheni ya uwekaji wa alama ya X kwenye nyumba zilizojengwa mabondeni, fukwe za bahari na maeneo ya wazi, jana ilikwama kwa saa tatu baada ya vijana kufunga njia kwa magurudumu yaliyokuwa yakiwaka moto kupinga hatua hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar

Watu wanne wamejeruhiwa baada ya milipuko minne inayoaminika kuwa ni mabomu kutokea katika maeneo matatu tofauti Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabomu yarindima jijini Mwanza

>Hali ya amani katikati ya Jiji la Mwanza jana ilichafuka kwa takriban saa mbili kutokana polisi kupambana na wananchi, waliokuwa wakipinga hatua ya madhehebu ya Kihindi ya Swaminarayan kufunga Mtaa wa Makoroboi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabomu ya machozi yarindima Mwanza

Polisi mkoani Mwanza wametumia mabomu ya machozi mapema leo kutawanya watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema  walioingia mitaani kushangilia wakiamini wagombea wao wanaongoza katika matokeo ya awali.

 

10 years ago

Mtanzania

Mabomu yarindima Kiteto Kura za maoni

NA BEATRICE MOSSES, MANYARA

JESHI la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewatawanya wananchi wa eneo hilo kwa kutumia mabomu ya machozi, baada ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kuvamiwa na wananchi.

Kabla ya vurugu kuibuka wananchi wa Kata ya Engusero walifunga barabara na kuwazuia wajumbe hao kufika Kiteto kuhakiki matokeo ya kura za maoni ya ubunge wa chama hicho.

Katika vurugu hizo wananchi hao walimvamia mbunge aliyemaliza muda wake, Benedict Ole...

 

9 years ago

Mwananchi

Mabomu ya machozi yarindima mkutano wa mgombea wa CCM

Vijana 50 wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa Chadema, wanadaiwa kufanya fujo kwenye mkutano wa hadhara wa mgombea wa ubunge wa CCM katika Jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha na kusababisha polisi wawatawanye kwa mabomu ya machozi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mabomu yarindima kuzima uvamizi kituo cha polisi

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama.
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi na silaha za moto, kuzima maandamano ya wafugaji wa jamii ya Kimasai kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, waliokuwa wamejipanga kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi Sanya Juu, Wilaya ya Siha mkoani hapa.

Wafugaji hao wanadaiwa walikuwa wakishinikiza kiongozi wao anayeshikiliwa (jina halijafahamika), kuachiwa na Polisi Wilaya ya Siha.

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia...

 

10 years ago

Mwananchi

Mabomu yarindima Dar:Ni wakati polisi wakizuia maandamano ya CUF

Polisi jijini Dar es Salaam jana walifyatua mabomu ya machozi kutawanya viongozi na wafuasi wa CUF na baadaye kumtia nguvuni Profesa Ibrahim Lipumba na wanachama 32, tukio lililosababisha Ukawa kuunganisha nguvu kuwasaidia kuandika maelezo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani