Mabomu ya machozi yarindima mkutano wa mgombea wa CCM
Vijana 50 wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa Chadema, wanadaiwa kufanya fujo kwenye mkutano wa hadhara wa mgombea wa ubunge wa CCM katika Jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha na kusababisha polisi wawatawanye kwa mabomu ya machozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mabomu ya machozi yarindima Mwanza
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mabomu yarindima Nigeria
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Risasi, mabomu yarindima Mbeya
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabomu yarindima jijini Mwanza
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Mabomu yarindima bomoabomoa Dar
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Mabomu yarindima Kiteto Kura za maoni
NA BEATRICE MOSSES, MANYARA
JESHI la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewatawanya wananchi wa eneo hilo kwa kutumia mabomu ya machozi, baada ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kuvamiwa na wananchi.
Kabla ya vurugu kuibuka wananchi wa Kata ya Engusero walifunga barabara na kuwazuia wajumbe hao kufika Kiteto kuhakiki matokeo ya kura za maoni ya ubunge wa chama hicho.
Katika vurugu hizo wananchi hao walimvamia mbunge aliyemaliza muda wake, Benedict Ole...
10 years ago
Vijimambo10 Feb
Mabomu yarindima kuzima uvamizi kituo cha polisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Gama-10Feb2015.jpg)
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi na silaha za moto, kuzima maandamano ya wafugaji wa jamii ya Kimasai kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, waliokuwa wamejipanga kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi Sanya Juu, Wilaya ya Siha mkoani hapa.
Wafugaji hao wanadaiwa walikuwa wakishinikiza kiongozi wao anayeshikiliwa (jina halijafahamika), kuachiwa na Polisi Wilaya ya Siha.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mabomu yarindima Dar:Ni wakati polisi wakizuia maandamano ya CUF