Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shitambala -Sugu race talking point in Mbeya

A total of five parties have fielded candidates for Mbeya Urban Parliamentary seat but centre of attention is on two parties. The retuning officer Mr Musa Zungiza, names the candidates and their parties as  Sambwee Shitambala (CCM), Joseph Mbilinyi aka Sugu or Mr II (Chadema),  Mary Komba (Chausta), Tumaini Mwanyalu (Chama cha Demokrasia Makini) and Lusekelo Asheli  (ACT- Wazalendo).

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Nintendo Life

Talking Point: We Should Brace For A Huge Games Industry Knock-On Effect Following The CERO Shutdown

Talking Point: We Should Brace For A Huge Games Industry Knock-On Effect Following The CERO Shutdown  Nintendo LifeJapan games ratings board CERO announces one-month temporary closure  GematsuJapan’s CERO Ratings ‘Suspended’ Until May Due to the Pandemic  SiliconeraNew Games Could See Delays As Japanese Rating Organisation CERO Temporarily Shuts Down  Nintendo LifeJapanese Game Rating Body CERO Is Closed For The Rest Of April  GameSpotView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala ajinadi

Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya kwa tiketi ya CCM Mjini Sambwee Shitambala akishangiliwa na baadhi ya WanaCCM  Kata ya Maanga Jijini Mbeya alipokuwa katika kampeni zake za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini. Meneja kampeni wa Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Kupitia Chama Cha Mapinduzi  ndugu Charles Mwakipesile akizungumza jambo katika mkutano wa adhara wa kampeni Ulio fanyika katika Kata ya Maanga Jijini Mbeya.Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi Ccm...

 

9 years ago

Michuzi

SOPHIA SIMBA AMNADI MGOMBEA UBUNGE CCM JIMBO LA MBEYA MJINI SAMBWEE SHITAMBALA.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ambaye piya ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amnadi mgombea Ubunge kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), katika mkutano wa adhara wa kampeni za Mgombea Ubunge uliofanyika katika Kata ya Iganzo Jijini Mbeya.Baadhi ya Wanachama na Wakazi wa Iganzo wakimpongeza Mgombea Ubunge Sambwee Shitambalaa.PICHA NA FADHIRI ATICK-MR.PENGO MBEYA.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Vijimambo

MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya


Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sugu: Nimeituliza Mbeya

Mbeya. Jimbo la Uchaguzi Mbeya Mjini linafahamika kwa rekodi yake ya kipekee.

 

9 years ago

Mtanzania

Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya

NA PENDO FUNDISHA, MBEYA

MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...

 

10 years ago

GPL

MAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI

Waandishi wetu
KUMEKUCHA! Nyota wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu ameibuka na kuwa msanii wa kwanza kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nyota wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu. Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Mafufu alisema amefikia uamuzi huo baada ya kuombwa na wananchi wa jimbo hilo kwa vile mbunge wa sasa, Mheshimiwa Joseph Mbilinyi...

 

11 years ago

Mwananchi

Sugu awalaumu polisi kurusha mabomu Mbeya

Mwandishi Wetu, Mwananchi

 

9 years ago

Mwananchi

Sugu: Meya ajaye atakuwa ‘moto’ Mbeya

Mbunge mteule wa Jimbo la Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amesema chama hicho kitahakikisha kinampata meya mpya mwenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo inayopangwa kila mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani