Sugu: Meya ajaye atakuwa ‘moto’ Mbeya
Mbunge mteule wa Jimbo la Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema chama hicho kitahakikisha kinampata meya mpya mwenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo inayopangwa kila mwaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Sugu: Nimeituliza Mbeya
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Meya Jiji la Mbeya matatani
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema linafanya uchunguzi wa kina ili kubaini endapo Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga, alihusika kwenye tuhuma zinazowakabili vijana wawili waliomtaja kuwa aliwatuma...
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
10 years ago
GPLMAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Mwakibete Fc yatwaa Kombe la Meya Mbeya
9 years ago
TheCitizen07 Oct
Shitambala -Sugu race talking point in Mbeya
11 years ago
Mwananchi08 Aug
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Meya Kapunga awakera mashabiki Mbeya City
KATIKA mazingira yasiyotarajiwa, Meya wa jiji la Mbeya, Athanus Kapunga, mwishoni mwa wiki alijikuta katika wakati mgumu akishindwa kuhutubia baada ya mashabiki wa soka kuanza kuzomea wakikerwa na hatua yake...