Mwakibete Fc yatwaa Kombe la Meya Mbeya
Timu ya Mwakibete Fc imeibuka kidedea katika fainali ya ligi la Kombe la ‘Mbeya Peps Mayor 2013’ baada ya kuifunga Ilomba Fc kwa mikwaju ya penati 3-1uliochezwa juzi katika Uwanja wa Ruanda Nzovwe jijini hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 May
SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA
![](http://api.ning.com/files/jK7-NTyuxfAEeaUwzyZQvKooRpYJ5v24ueiQ9BQNe5022jW6sCO23rlkLgydVtWMqpYLtbt3kaWodcFfVG02fTIn6WC2g107/4.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jK7-NTyuxfBMDdQQQFPzzx8WjIirRGVRyIvwVr4BF0ezidNpoHONJvaubFJNsBDet4Pjjuir4Sx-nsyqSrEv-37G*U9AbM3S/1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jK7-NTyuxfAZ4knV3pK8qHzMvexCZl1I92cKP71siTivaVLIwJr4I8ULVOtqKMDojN-fFfT4ICxTTEtB4ZiGK-D2-X4nHwDJ/2.jpg?width=650)
TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.
Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfBMDdQQQFPzzx8WjIirRGVRyIvwVr4BF0ezidNpoHONJvaubFJNsBDet4Pjjuir4Sx-nsyqSrEv-37G*U9AbM3S/1.jpg?width=650)
SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika
10 years ago
Bongo514 Jan
Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015
10 years ago
BBCSwahili28 May
Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa
10 years ago
GPLSIMBA SC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika
Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.
Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.
Na Rabbi Hume
Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu
RABAT, MOROCCO
TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.
Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.
Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...