Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa
Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na kivumbi cha fainali ya Uefa ndogo, kwenye mtanange ulioikutanisha Sevilla ya Hispania dhidi ya Dnipropetrovsk ya Ukrain.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 May
SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA



TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.
Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...
10 years ago
GPL
SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika
Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.
Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.
Na Rabbi Hume
Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...
11 years ago
BBCSwahili15 May
Sevilla ndio mabingwa wa Europa
5 years ago
Chiesa Di Totti29 Feb
Roma Draws Sevilla in Europa League Round of 16
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Matokeo ya ligi ya Europa (UEFA Europa League)
Ligi ya vilabu barani Ulaya (Uefa Europa League) iliendelea hapo kwa michezo 24 iliyochezwa katika viwanja 12 tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Ajax 0 – 0 Fenerbahçe
Celtic 1 – 2 Molde
GROUP B;
FC Sion 1 – 1 Bordeaux
Rubin Kazan 0 – 1 Liverpool
GROUP C;
Borussia Dortmund 4 – 0 FK Qabala
FK Krasnodar 2 -1 PAOK Salonika
GROUP D;
Club Brugge 1 – 0 Legia Warsaw
Napoli 5 – 0 FC Midtjylland
GROUP E;
Dinamo Minsk 1 – 2 Villarreal
Viktoria Plzen 1 – 2 Rapid Vienna
GROUP F;
FC...
10 years ago
Bongo514 Jan
Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Mwakibete Fc yatwaa Kombe la Meya Mbeya