Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa

Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na kivumbi cha fainali ya Uefa ndogo, kwenye mtanange ulioikutanisha Sevilla ya Hispania dhidi ya Dnipropetrovsk ya Ukrain.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi katika dakika ya 73 ya mchezo.Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk.Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.

TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.

Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...

 

10 years ago

GPL

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk. Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.  Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi…

 

9 years ago

Dewji Blog

TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika

MAZEMBE+PX

Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.

Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015

Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.

Na Rabbi Hume

Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sevilla ndio mabingwa wa Europa

Sevilla ndio mabingwa wa mwaka huu wa taji la Europa baada ya kuilaza Benfica mabao 4-2 .

 

5 years ago

Chiesa Di Totti

Roma Draws Sevilla in Europa League Round of 16

Roma Draws Sevilla in Europa League Round of 16  Chiesa Di TottiRanking Every Team Left in the Europa League by Chances of Winning  90minRoma draw Sevilla in Europa League  RomaPressGetafe Director Villaverde: "I Hope Fans Will Be Able To Attend Our Match Away To Inter"  SempreInterEuropa League last-16 draw: When is it, fixtures, teams, how to watch on TV & live stream  Goal.comView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya ligi ya Europa (UEFA Europa League)

Uefa Europa League

Ligi ya vilabu barani Ulaya (Uefa Europa League) iliendelea hapo kwa michezo 24 iliyochezwa katika viwanja 12 tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Ajax 0 – 0 Fenerbahçe

Celtic 1 – 2 Molde

GROUP B;

FC Sion 1 – 1 Bordeaux

Rubin Kazan 0 – 1 Liverpool

GROUP C;

Borussia Dortmund 4 – 0 FK Qabala

FK Krasnodar 2 -1 PAOK Salonika

GROUP D;

Club Brugge 1 – 0 Legia Warsaw

Napoli 5 – 0 FC Midtjylland

GROUP E;

Dinamo Minsk 1 – 2 Villarreal

Viktoria Plzen 1 – 2 Rapid Vienna

GROUP F;

FC...

 

10 years ago

Bongo5

Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015

Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba, usiku wa kuamkia leo waliibuka washindi katika mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi kwa kuwafunga Mtibwa Sukari kwa changamoto ya Mikwaju ya Penati. Mchezo huo ulifanyika huko kisiwani Unguja. Simba walifanikiwa kupata panati nne na kukosa moja huku mtibwa wakipata penati tatu na kukosa mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika

Nigeria imeweka rekodi barani Afrika baada ya kutwaa kombe lake la saba la vijana wasiozidi umri wa miaka 20.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakibete Fc yatwaa Kombe la Meya Mbeya

Timu ya Mwakibete Fc imeibuka kidedea katika fainali ya ligi la Kombe la ‘Mbeya Peps Mayor 2013’ baada ya kuifunga Ilomba Fc kwa mikwaju ya penati 3-1uliochezwa juzi katika Uwanja wa Ruanda Nzovwe jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani