Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika

Nigeria imeweka rekodi barani Afrika baada ya kutwaa kombe lake la saba la vijana wasiozidi umri wa miaka 20.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la U20

Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20

 

9 years ago

Dewji Blog

TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika

MAZEMBE+PX

Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.

Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015

Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.

Na Rabbi Hume

Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...

 

10 years ago

BBCSwahili

Niger kuwakabili Nigeria kombe la Afrika

Shirikisho la soka barani Afrika Caf limetangaza ratiba ya michuano ya kombe la Afrika kwa vijana, itakayofanyika Niger 2015.

 

10 years ago

Michuzi

STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20

Na Dotto Mwaibale
WAPENZI  wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe  20 mwezi Juni  mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.


Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...

 

10 years ago

BBC

Nigeria knocked out of U20 World Cup

Nigeria exit the Fifa Under-20 World Cup at the Round of 16 stage, losing 1-0 to Germany in New Zealand.

 

10 years ago

BBC

Nigeria lose to Brazil in U20 opener

Brazil come from behind to beat African champions Nigeria 4-2 at the Under-20 World Cup in New Zealand.

 

10 years ago

GPL

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk. Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.  Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi…

 

10 years ago

Vijimambo

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi katika dakika ya 73 ya mchezo.Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk.Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.

TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.

Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...

 

10 years ago

BBC

Nigeria lose U20 World Cup final

Nigeria are beaten 1-0 by Germany in the Under-20 Women's World Cup final in Montreal, Canada.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani