Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Niger kuwakabili Nigeria kombe la Afrika

Shirikisho la soka barani Afrika Caf limetangaza ratiba ya michuano ya kombe la Afrika kwa vijana, itakayofanyika Niger 2015.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika

Nigeria imeweka rekodi barani Afrika baada ya kutwaa kombe lake la saba la vijana wasiozidi umri wa miaka 20.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad na Nigeria kuwakabili Boko Haram

Serikali ya Chad imewaondoa wapiganaji wa kundi la Boko Haram waliokuwa katika mji wa Malumfatori Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBC

Niger hit by Nigeria's Boko Haram fallout

Gang members cross border to fight for Nigerian Islamists

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika:K haitaandaa kombe la Afrika

Waziri wa Michezo wa Afrika kusini Fikile Mbalula amesema taifa lake haliko tayari kuandaa dimba la kombe la Afrika endapo taifa la Morrocco itakataa

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Mataifa ya Afrika

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika itaendelea ilivyopangwa pamoa na kuwepo Ebola.

 

9 years ago

Bongo5

Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana

Nigeria 3

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.

2731461_full-lnd

Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.

2731456_big-lnd

Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.

Nigeria 3

Mshambuliajia Victor Osimhen...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tathmini ya Kombe la Mataifa ya Afrika

Baada ya Ivory Coast kuibuka bingwa wa mwaka huu wa Kombe la mataifa ya Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandalizi ya kombe la Afrika yaendelea

Wiki tano zimebaki kuanza rasmi kwa michuano ya kombe la Afrika,huko Equatorial Guinea ambao ni wenyeji wa mashindano hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandalizi:Kombe la Mataifa ya Afrika

Timu mbali mbali zitakazoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zinaendelea kujinoa kwa ajili ya fainali hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani