Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la U20
Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MMnZFVoq8T0/VWqyMNz6-pI/AAAAAAAAQf8/dQVQ3ucxLoo/s72-c/z.jpg)
STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20
![](http://1.bp.blogspot.com/-MMnZFVoq8T0/VWqyMNz6-pI/AAAAAAAAQf8/dQVQ3ucxLoo/s320/z.jpg)
WAPENZI wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe 20 mwezi Juni mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.
Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...
9 years ago
Bongo509 Nov
Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana
![Nigeria 3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nigeria-3-300x194.jpg)
Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.
Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.
Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.
Mshambuliajia Victor Osimhen...
9 years ago
StarTV07 Nov
 Kombe la Dunia U-17: Mali, Nigeria kucheza fainali Jumapili.
Hatimaye ndoto ya timu mbili za Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 imetimia baada ya timu za taifa za Mali na Nigeria Golden Eaglets kushinda mechi kwa vipigo vizito na kutinga fainali ya michuano hiyo nchini Chile.
Timu ya taifa ya Mali imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza baada kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ubeligiji iliyokuwa ya kwanza kujipataia bao kupitia Jorn Vancamp baada ya kuihadaa ngome ya Mali na likiwa ni bao la kwanza kufungwa...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83340000/jpg/_83340401_459140108.jpg)
Nigeria lose to Brazil in U20 opener
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83562000/jpg/_83562372_u20world.jpg)
Nigeria knocked out of U20 World Cup
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77154000/jpg/_77154608_nigeria_germany.jpg)
Nigeria lose U20 World Cup final
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Kombe la dunia kwa wanawake
11 years ago
Habarileo11 Jul
Kombe la Dunia kero kwa wanawake
BAADHI ya wanawake walioolewa na wale wanaoishi kinyumba wakiwa wakazi wa mji wa Sumbawanga, wameshukuru fainali za Kombe la Dunia zinaelekea ukingoni. Ujerumani na Argentina watapambana katika mchezo wa fainali Jumapili.