Kombe la Dunia kero kwa wanawake
BAADHI ya wanawake walioolewa na wale wanaoishi kinyumba wakiwa wakazi wa mji wa Sumbawanga, wameshukuru fainali za Kombe la Dunia zinaelekea ukingoni. Ujerumani na Argentina watapambana katika mchezo wa fainali Jumapili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Kombe la dunia kwa wanawake
Michuano ya kombe la dunia la wanawake,inaendelea huko canada katika miji tofauti tofauti.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kombe la Dunia Wanawake kuendelea
England itakwaana na Norway katika mzunguko wa pili wa mpira wa wanawake wa kombe la dunia.
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Marekani bingwa kombe la Dunia wanawake
Marekani imeibuka mshindi wa Kombe la Dunia soka wanawake kwa kuichabanga Japan kwa bao 5 kwa 2.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRiVXDIl5dE/U5tHtaBRYXI/AAAAAAAFqb8/oSTNl6ktnl0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkPIv-vcpowaK0RR2jTHavgxx9edzshiBpBPUXzZH7GJT8uCBxSFuW0eVXIlTPUSKIhaPpPLLubWfoP-jzH*rCt/kenya1.jpg?width=650)
RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA
Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta akitoa hotuba yake katika Ikulu ya Nairobi wakati wa hafla ya kuiaga timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars aliyoipa ofa ya kwenda ziara ya mafunzo kwenye Kombe la Dunia nchini Brazil.
Rais Kenyatta akiongea na wachezaji wa Harambee Stars.…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UirNpLGaL-M/U5twbeRemEI/AAAAAAAFqdw/-AsGMr7QIog/s72-c/10383571_858382170857004_7538480957319557371_n.jpg)
Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameizawadi kwa kuifadhili timu ya taifa ya soka Harambe Stars ziara ya kwenda Brazil kutazama michuano ya kombe la dunia Hafla ya kuikabidhi rasmi ufadhili huo timu hiyo, ilifanyika katika ikulu ya Rais Ijumaa ambapo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo walikabidhiwa tiketi za ndege kwenda Brazil.
Kitendo cha Rais bila shaka ni jambo la kutaka kuwatia motisha wachezaji wa timu ya taifa ambao hivi karibuni waliicharaza Djibouti mabao mawili kwa moja katika duru...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la U20
Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqrHFit6fK-a8VUQq1iusWIx5iqDZeZn-ozjzo5u1QvIljOr45T-FcbPGpSjRTOSdYfISJ-dbrB6S2uhe-GvFZK/ujerumani.jpg)
UJERUMANI BINGWA KWA MARA YA 4 KOMBE LA DUNIA
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya nne nchini Brazil usiku huu. Kocha wa Ujerumani, Joachim Low akinyanyua juu Kombe la Dunia.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania