Marekani bingwa kombe la Dunia wanawake
Marekani imeibuka mshindi wa Kombe la Dunia soka wanawake kwa kuichabanga Japan kwa bao 5 kwa 2.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
UJERUMANI BINGWA KWA MARA YA 4 KOMBE LA DUNIA
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Barcelona yatwaa Kombe la FIFA Klabu Bingwa Dunia
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Klabu ya Barcelona ya Hispania imetwaa Ubingwa wa FIFA Klabu Bingwa wa Dunia baada ya kuifunga klabu ya River Plate ya Argentina kwa goli 3 kwa bila katika mchezo wa fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika nchini Japan.
Katika mchezo huo wa fainali nyota ya Barcelona ilianza kung`aa katika dakika ya 36 baada ya mshambuliaji wake Lionel Messi kuifungia timu hiyo goli la kwanza kwa kuunganisha mpira uliotoka kwa mchezaji mwenzake Neymar na baadae Luiz Suarez...
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Kombe la dunia kwa wanawake
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kombe la Dunia Wanawake kuendelea
11 years ago
Habarileo11 Jul
Kombe la Dunia kero kwa wanawake
BAADHI ya wanawake walioolewa na wale wanaoishi kinyumba wakiwa wakazi wa mji wa Sumbawanga, wameshukuru fainali za Kombe la Dunia zinaelekea ukingoni. Ujerumani na Argentina watapambana katika mchezo wa fainali Jumapili.
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Marekani kucheza fainali Kombe la Dunia
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Bingwa Kombe la FA kumfunika wa Ligi
*Atacheza mechi saba tu atanyakua mil. 50/-
NA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM
BINGWA wa mashindano ya Kombe la FA ‘Azam Sports Federation Cup’, anatarajia kumfunika vibaya bingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwa fedha ya zawadi inayotolewa na wadhamini wa michuano hiyo.
Wakati wadhamini wa Ligi Vodacom wakitoa zawadi ya Sh milioni 70 kwa bingwa wake baada ya kucheza michezo 30, bingwa wa FA yeye anatarajia kuondoka na Sh milioni 50 baada ya kucheza michezo saba tu.
Mashindano ya FA...
11 years ago
GPL
KENYA BINGWA KOMBE LA CHALENJI 2013