Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la Dunia Wanawake kuendelea

England itakwaana na Norway katika mzunguko wa pili wa mpira wa wanawake wa kombe la dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Suarez hatihati kuendelea Kombe la Dunia

Mchezaji wa Uruguay, Luis Suarez anatarajiwa kukumbana na adhabu kali ambayo itasababisha ashindwe kuendelea na fainali za Kombe la Dunia 2014, ikiwa itathibitika kuwa alimng’ata kwa makusudi Giorgio Chiellini wa Italia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia kwa wanawake

Michuano ya kombe la dunia la wanawake,inaendelea huko canada katika miji tofauti tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Kombe la Dunia kero kwa wanawake

BAADHI ya wanawake walioolewa na wale wanaoishi kinyumba wakiwa wakazi wa mji wa Sumbawanga, wameshukuru fainali za Kombe la Dunia zinaelekea ukingoni. Ujerumani na Argentina watapambana katika mchezo wa fainali Jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani bingwa kombe la Dunia wanawake

Marekani imeibuka mshindi wa Kombe la Dunia soka wanawake kwa kuichabanga Japan kwa bao 5 kwa 2.

 

9 years ago

Michuzi

KOMBE LA FA KUENDELEA LEO

Michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) mzunguko wa pili unaendelea leo kwa mchezo mmoja kuchezwa mmoja katika uwanja wa Majimaji mjini Songea kati ya JKT Mlale dhidi ya Mighty Elephant.
Kesho Jumatano kutakua na michezo miwili, Kariakoo ya Lindi watawakaribisha Mshikamano FC katika uwanja wa Ilulu – Lindi, Disemba 24 Njombe Mji watakua wenyeji wa Green Warriors katika uwanja wa Sabasaba mjini Njombe, na Pamba FC watacheza dhidi ya Alliance uwanja wa CCM Kirumba.
Ijumaa...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA

GU9A7961Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira , Mh. Binilith Mahenge akisamiana na Mwenyekiti mwenza wa Mkutano wa UN-REDD Kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa Eduardo Rojas ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi anayeshughulikia masuala ya misitu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) mara baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa mikutano kufungua kikao cha 13 cha wadau wanaotekeleza program ya kutunza misitu ya Umoja wa Mataifa REDD+ kinachofanyika Ngurdoto Jijini...

 

11 years ago

Michuzi

BAN KI MOON AWACHAGIZA WANAWAKE KUENDELEA KUTETEA FURSA SAWA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akifungua mkutano wa 58 wa Kamisheni kuhusu Hali ya Wanawake ( CSW) Mkutano huu wa wiki mbili unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, na unawakutanisha wanawake wa kada mbalimbali kutoka Serikali Kuu na Asasa za Kiraia. Akifungua mkutano, Katibu Mkuu, pamoja na mambo mengine amewataka wanawake kuendelea kutetea fursa za kijinsia, kupinga ubaguzi wa aina zote na kuhakikisha kwamba sauti ya wanawake na watoto wa kike inaendele...

 

11 years ago

BBCSwahili

Historia ya kombe la dunia

Mihemko imeanza kushuhudiwa kabla ya kombe la dunia kuanza Brazil. Je unajua historia ya kombe hilo na baadhi ya wachezaji waliowakilisha Afrika?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani