UJERUMANI BINGWA KWA MARA YA 4 KOMBE LA DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqrHFit6fK-a8VUQq1iusWIx5iqDZeZn-ozjzo5u1QvIljOr45T-FcbPGpSjRTOSdYfISJ-dbrB6S2uhe-GvFZK/ujerumani.jpg)
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya nne nchini Brazil usiku huu. Kocha wa Ujerumani, Joachim Low akinyanyua juu Kombe la Dunia.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
JK aipongeza Ujerumani kwa kutwaa Kombe la Dunia, apokea hati za utambulisho wa mabalozi wanne leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) ameipongeza Ujerumani kwa kutwaa Kombe la Dunia mwaka huu.
Rais Kikwete ametoa pongezi hizo kwa Balozi mpya wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Mheshimiwa Egon Kochanke ambaye amewasilisha Hati zake za Utambulisho leo asubuhi Ikulu .
“Naipongeza Ujerumani kwa kuibuka washindi natumaini tutashirikiana vyema katika masuala ya utamaduni hasa hasa katika kuinua kiwango cha soka nchini Tanzania na kuzisaidia klabu za Tanzania kuanzisha shule maalum kwa...
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Marekani bingwa kombe la Dunia wanawake
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Barcelona yatwaa Kombe la FIFA Klabu Bingwa Dunia
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Klabu ya Barcelona ya Hispania imetwaa Ubingwa wa FIFA Klabu Bingwa wa Dunia baada ya kuifunga klabu ya River Plate ya Argentina kwa goli 3 kwa bila katika mchezo wa fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika nchini Japan.
Katika mchezo huo wa fainali nyota ya Barcelona ilianza kung`aa katika dakika ya 36 baada ya mshambuliaji wake Lionel Messi kuifungia timu hiyo goli la kwanza kwa kuunganisha mpira uliotoka kwa mchezaji mwenzake Neymar na baadae Luiz Suarez...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil
MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRb6SmW1f4mYR4EQDumYNn3W26Hrb2lp20hPfW6-09oDVTXewCYTw1EkxO-CCtV-cSn82SWSXRiywfNggr-jx4GR/140708201731_gol_muller_512x288_getty_nocredit.jpg?width=640)
KOMBE LA DUNIA: UJERUMANI YAIFANYIA KITU MBAYA BRAZIL NA KUTINGA FAINALI
11 years ago
Mwananchi14 Jul
BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina
10 years ago
Vijimambo31 May
ARSENAL YA WAGALAGAZA ASTON VILLA NA KUNYAKUWA KOMBE LA FA KWA MARA YA 12
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy4uqJLLOMc5uoxjAL5mR1z87uQsenH0i1eCNTllSIyEo*NC-qV3Vi45eWN7tBlzjS5dL2dUReFIxFY0yxsRCqtP/3.jpg?width=650)
Theo Walcott akiifungia Arsenal bao la kwanza katika dakika ya 40.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy5tv7DOg1Xcq2x1ESjLYWg5fO3BuUsOgivrHtmnmuS3-eCc3rxaeH6*nzsmH73xHqjCACn6Mia9w3bccT8R0DP0/4.jpg?width=650)
Walcott akishangilia bao hilo.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy5-M77jP*TNhXwGBhENYu*HicU1aXoxCZ-iTZfPnLEpw2mkrSvLazh81XKmxlMhcd1rLEv94ex1e70jJ9B5gMDm/2.jpg?width=650)
Arsenal wakisherehekea ubingwa wao wa FA.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy4uqJLLOMc5uoxjAL5mR1z87uQsenH0i1eCNTllSIyEo*NC-qV3Vi45eWN7tBlzjS5dL2dUReFIxFY0yxsRCqtP/3.jpg?width=650)
Theo Walcott akiifungia Arsenal bao la kwanza katika…
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy5cNiErbnLWRY0zK9wTyOw1P7f26qE3XhiKhYZx3xvZ0SFlOz1iPbmJc*Tq5bea4ktCAkDD-WjKaFBwD5RtvGDM/1.jpg?width=650)
Mabingwa mara 12 wa Kombe la FA, Arsenal baada ya ushindi wa leo dhidi ya Aston Villa.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy5-M77jP*TNhXwGBhENYu*HicU1aXoxCZ-iTZfPnLEpw2mkrSvLazh81XKmxlMhcd1rLEv94ex1e70jJ9B5gMDm/2.jpg?width=650)
Arsenal wakisherehekea ubingwa wao wa FA.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy4Drxr9Dy*Eu35r8pOE*-Viw9We9vI1x9PGn8tmrKbtMor-KlCHFnqg287gwxzYp2L1BwlefLzGpRuYqB0z5FCn/5.jpg?width=650)
Alexis Sanchez (kushoto) akipiga shuti lililojaa wavuni na kuiandikia Arsenal bao la pili.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy4Fox34Jcp*--r9te64kr8nWfSguR1-XMWVWo02C4QAzkASnK1mGE0X1ek4qA*EHcY2p4nmQo4einCfq-zznWAS/6.jpg?width=650)
Per Mertesacker akipiga mpira wa kichwa uliozaa bao la tatu kwa Arsenal.
![](http://api.ning.com/files/2ZiD2OIPxy5kRmMYzNTO563Iwcmnmu7KQ9JJ1TxyGWo7Eaut2PBhntJ1cKs6sCYCTtJgyfjEhCuHw6vJxXDK7aBoN*c0-*rQ/7.jpg?width=650)
Olivier Giroud...
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Kombe la dunia kwa wanawake