BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina
Goli la Mario Goetze katika dakika ya 113 jana limeiwezesha Ujerumani kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya nne katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen14 Jul
BRAZIL 2014: World Cup history for Germany as Goetze sinks Argentina
Mario Goetze scored a superb extra-time winner as Germany beat Argentina 1-0 to become the first European team to win a World Cup held in South America on Sunday, July 13, 2014.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali
Timu ya soka ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia baada kuitungua Uholanzi kwa mikwaju ya penalti 4-2, katika mchezo wa jana wa nusu fainali nchini Brazil.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Brazil, Argentina zashindwa mechi za kufuzu Kombe la Dunia
Brazil na Argentina zilicharazwa 2-0 mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia zilizochezwa Alhamisi.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil
MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRb6SmW1f4mYR4EQDumYNn3W26Hrb2lp20hPfW6-09oDVTXewCYTw1EkxO-CCtV-cSn82SWSXRiywfNggr-jx4GR/140708201731_gol_muller_512x288_getty_nocredit.jpg?width=640)
KOMBE LA DUNIA: UJERUMANI YAIFANYIA KITU MBAYA BRAZIL NA KUTINGA FAINALI
Thomas Muller akifunga bao la kwanza la Ujerumani dakika ya 11. Muller akishangilia bao lake.…
11 years ago
Mwananchi14 Jul
BRAZIL 2014: Ujerumani - Mabingwa wa Dunia!
Ujerumani ndiyo mabingwa wapya wa dunia baada ya kuichapa 1-0 Argentina katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2014, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Historia: Ujerumani na Argentina
Argentina na Ujerumani zitachuana katika fainali ..Je wajua itakuwa mara ya 3 katika historia?
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Brazil 2014: Dhambi za Kombe la Dunia zisizosahaulika
Katika maisha ya sasa uliyowahi kuyaona, kuna watu wema na wabaya. Vituko katika fainali za Kombe la Dunia haviepukiki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania