BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali
Timu ya soka ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia baada kuitungua Uholanzi kwa mikwaju ya penalti 4-2, katika mchezo wa jana wa nusu fainali nchini Brazil.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jul
BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina
Goli la Mario Goetze katika dakika ya 113 jana limeiwezesha Ujerumani kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya nne katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Fainali : Argentina vs Ujerumani
Hauchi hauchi hatimaye fainali ya kombe la dunia ni leo ! Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani.
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Argentina na Ujerumani katika Fainali
Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani katika fainali ya kombe la dunia
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali
Argentina imefuzu kwa fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Uholanzi 4-2 kwa penalti.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbX6rVtdFMD3dp1wKqjGrDg6COBSpDrb3sHdbVCB1j5EXefOd9bi2Ut0gdLF-zI*a30daBkE0cSVSt0p2z7DFzH/wanaume.jpg)
ARGENTINA WATINGA FAINALI, KUKWAANA NA UJERUMANI JUMAPILI HII
Wanaumeee: Argentina wakishangilia baada ya kutinga fainali kwa ushindi wa penalti 4-2. Messi kazini: Lionel Messi akijaribu kumtoka Nigel de Jong wakati wa mtanange huo.…
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Mechi Brazil, Argentina yasubiriwa kwa hamu
>Mechi inayosubiriwa kwa hamu zaidi na mashabiki wa soka hapa ni Brazil na Argentina kama zitafanikiwa kutinga fainali za Kombe la Dunia katika pambano litakachezwa Julai 13Â kwenye Uwanja wa Maracana.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil
MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...
11 years ago
TheCitizen11 Jul
BRAZIL 2014: Germany favourites, but Argentina have firepower
>And here we are, back into history. Twenty four years after Argentina and Germany competed and split back-to-back World Cup finals, the two giants of the beautiful game will light up a glamorous Sunday evening when they meet in the 2014 final.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania