ARGENTINA WATINGA FAINALI, KUKWAANA NA UJERUMANI JUMAPILI HII
![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbX6rVtdFMD3dp1wKqjGrDg6COBSpDrb3sHdbVCB1j5EXefOd9bi2Ut0gdLF-zI*a30daBkE0cSVSt0p2z7DFzH/wanaume.jpg)
Wanaumeee: Argentina wakishangilia baada ya kutinga fainali kwa ushindi wa penalti 4-2. Messi kazini: Lionel Messi akijaribu kumtoka Nigel de Jong wakati wa mtanange huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Fainali : Argentina vs Ujerumani
Hauchi hauchi hatimaye fainali ya kombe la dunia ni leo ! Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani.
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Argentina na Ujerumani katika Fainali
Argentina inachuana dhidi ya Ujerumani katika fainali ya kombe la dunia
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali
Argentina imefuzu kwa fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Uholanzi 4-2 kwa penalti.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali
Timu ya soka ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia baada kuitungua Uholanzi kwa mikwaju ya penalti 4-2, katika mchezo wa jana wa nusu fainali nchini Brazil.
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s72-c/swahiliPicnic-1.png)
MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.
![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s640/swahiliPicnic-1.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLHwTqLwoo4YulJSUos-l3wqLvPfkiQKT8GqHuXT50IdaVeU3z-SjzDwhbqraM6e56iIvZIvDB-V9DRbvfjS0m*/BAYERNVSBARCA.jpg?width=650)
BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO
MECHI:Â Â Â Bayern Munich vs Barcelona
LIGI:Â Â Â Â Â Ligi ya Mabingwa Ulaya
HATUA:Â Â Nusu Fainali
MUDA:Â Â Â Saa 3:45 usiku
UWANJA: Allianz Arena
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_1821.jpg)
WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH
Lango kuu la kuingilia kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar panapofanyika shindano kali la kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la "MO Kids Got Talent 2013" Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la “MO Kids Got Talentâ€, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki walioingia semi finals za shindano hilo linalofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania