Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani kutwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia 2014 Germany Vs Argentina..??

fainali

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Germany mabinwga wapya wa kombe la dunia 2014

 Germany ndio mabingwa wa kombe la Dunia  2014 FIFA World Cup, wakinyakua kombe kwa mara ya nne katika historia yao baada ya kuwashinda  Argentina 1-0 kwa bao la muda wa nyoingeza la  Mario Gotze (pichani juu kushoto) katika uwanja wa Maracana huko Rio de Janeiro.
Mchezaji huyo aliyeingia kama mchezaji wa akiba aliweza kuua uwezekano wa kupigiana penati kwa bao lake la uamuzi baada ya timu hizo kutoka suluhu hadi mapumziko katika mchezo uliojaa kila aina ya msisimko. Bao lake hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina

Goli la Mario Goetze katika dakika ya 113 jana limeiwezesha Ujerumani kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya nne katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia

Mwaka 1983 mwanariadha wa Tanzania, Gidamis Shahanga alikamata nafasi ya tano katika mashindano ya riadha ya dunia yaliyofanyika huko Helsinki, Finland. Shahanga alishika nafasi hiyo baada ya kukimbia mbio za mita 10,000 kwa kutumia dakika 28:01:93.

 

11 years ago

Dewji Blog

Nani kutwaa Taji la Miss Tabata 2014 leo Tarehe 06/06/2014?

 Husna Ibrahim  Evodia Mdemu  Happiness Wilson  Lightness Olomi  Fatma Hussein  Marium Shwaib  Ramta Mkadara  Angela Kashaga  Ambasia Maliy  10.Nuru Omary  Mary Henry  Najma Charles  Faudhia Feka  .Lydia Charle  .Lydia Charle Mary Kazula

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Germany favourites, but Argentina have firepower

>And here we are, back into history. Twenty four years after Argentina and Germany competed and split back-to-back World Cup finals, the two giants of the beautiful game will light up a glamorous Sunday evening when they meet in the 2014 final.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014:Five classic Germany-Argentina clashes

Germany face Argentina for the third time in a World Cup final at the Maracana in Rio de Janeiro today.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: World Cup history for Germany as Goetze sinks Argentina

Mario Goetze scored a superb extra-time winner as Germany beat Argentina 1-0 to become the first European team to win a World Cup held in South America on Sunday, July 13, 2014.

 

11 years ago

GPL

NANI KUTWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA (BALLON D'OR) LEO?

TUZO ya Mchezaji Bora wa Dunia (Ballon d'Or) inatolewa leo jijini Zurich, Switzerland, lakini kitendawili kinabaki ni mchezaji gani kati ya hawa Christiano Ronaldo, Lionel Messi na Frank Ribery ataibuka na tuzo hiyo?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani