Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia
Mwaka 1983 mwanariadha wa Tanzania, Gidamis Shahanga alikamata nafasi ya tano katika mashindano ya riadha ya dunia yaliyofanyika huko Helsinki, Finland. Shahanga alishika nafasi hiyo baada ya kukimbia mbio za mita 10,000 kwa kutumia dakika 28:01:93.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
11 years ago
Mwananchi16 May
Nditi aisaidia Chelsea kutwaa ubingwa
>Kiungo Mtanzania anayekipiga katika klabu ya Chelsea, Adam Nditi, ameisaidia Chelsea kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya vijana chini ya miaka 21 nchini England baada ya kuitandika Manchester United mabao 2-1.
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa
Bondia Muingereza,Tyson Fury alimtamausha mshikilizi wa mataji tatu ya uzani mzito duniani Vladimir Klitschko na kutwaa ubingwa wa dunia.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qVRVKl9kono/VTplCtps6dI/AAAAAAABXqk/6TMrrYexCD4/s72-c/3.jpg)
Yanga noma yabakisha pointi 3 kutwaa ubingwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-qVRVKl9kono/VTplCtps6dI/AAAAAAABXqk/6TMrrYexCD4/s1600/3.jpg)
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0.
Timu zikiingia uwanjani.
Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting. Picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Goran: Saa 456 za Simba kutwaa ubingwa
Kocha wa Simba, Goran Kuponovic amesema bado kuna saa456 za timu yake kupigana na kuhakikisha anachukua ubingwa wa LigiKuu Tanzania Bara msimu huu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s72-c/tmk-788181.jpg)
DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP
![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s1600/tmk-788181.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKNL29GCgeuMyN*HeEEQ2qAwEgY65MA0zq103XPb7Hw5aMTAjS7R0*EhmMamgaFxVsE0rIAShIg5EQrygI-6VUX/_MG_0076.jpg?width=650)
VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL
Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampumi hiyo, Salum Mwalim. Mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wameipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2013/2014 ikiwa ni Mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake miaka 7 iliyopita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Mbeya City na Azam FC kwenye uwanja wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania