DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP
![](http://1.bp.blogspot.com/-TpCBNzkW46o/VM-1Y7c5lEI/AAAAAAAHBHs/DIaPCmLAAIk/s72-c/tmk-788181.jpg)
Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimeipongeza timu ya Temeke kwa kutwaa Ubingwa wa Taifa Wanawake,baada ya kuifunga Pwani kwa bao 1-0,kwenye mchezo wa fainali uliopigwa jumapili ya Januari 31 kwenye dimba la Azam Complez huko Chamazi. Katika fainali hiyo iliyohudhuriwa na waziri mwenye dhamana ya michezo Dk.Fenella Mukangara,imeshuhudiwa Temeke ikijipatia bao lake mnamo dakika ya 66 kupitia kwa mchezaji wao Neema Paul. Temeke walifanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Temeke win Taifa Cup trophy again
10 years ago
TheCitizen07 Jan
Taifa Cup glory in sight Temeke girls as Kinondoni falter
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
DRFA yaipongeza Azam ubingwa VPL
CHAMA cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kwa mara ya kwanza katika historia yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom...
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Temeke mabingwa wa Proin Women Taifa Cup mara baada ya kuifunga Pwani katika fainali
![IMG_1261](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_1261.jpg)
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa
11 years ago
Mwananchi16 May
Nditi aisaidia Chelsea kutwaa ubingwa
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia