Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa

Bondia Muingereza,Tyson Fury alimtamausha mshikilizi wa mataji tatu ya uzani mzito duniani Vladimir Klitschko na kutwaa ubingwa wa dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.

2EE44F8100000578-0-image-m-16_1448835936181

Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.

151128233803_klitschko_fury_640x360_getty

Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Klitschko anataka marudio dhidi ya Fury

Wladimir Klitschko sasa ameomba waandalizi wa ndondi ya uzani wa juu kumpa nafasi ya kuzichapa tena dhidi ya muingereza Tyson Fury mwakani .

 

9 years ago

StarTV

Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi

 

  Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12  likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.

Klitschko  amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27  na kushinda mara 23 atakuwa akitetea  taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.

Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...

 

11 years ago

Mwananchi

Nditi aisaidia Chelsea kutwaa ubingwa

>Kiungo Mtanzania anayekipiga katika klabu ya Chelsea, Adam Nditi, ameisaidia Chelsea kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya vijana chini ya miaka 21 nchini England baada ya kuitandika Manchester United mabao 2-1.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia

Mwaka 1983 mwanariadha wa Tanzania, Gidamis Shahanga alikamata nafasi ya tano katika mashindano ya riadha ya dunia yaliyofanyika huko Helsinki, Finland. Shahanga alishika nafasi hiyo baada ya kukimbia mbio za mita 10,000 kwa kutumia dakika 28:01:93.

 

10 years ago

Mwananchi

Goran: Saa 456 za Simba kutwaa ubingwa

Kocha wa Simba, Goran Kuponovic amesema bado kuna saa456 za timu yake kupigana na kuhakikisha anachukua ubingwa wa LigiKuu Tanzania Bara msimu huu.

 

10 years ago

Michuzi

Yanga noma yabakisha pointi 3 kutwaa ubingwa


Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0.
 Timu zikiingia uwanjani.


 Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara

TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani