Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa
Bondia Muingereza,Tyson Fury alimtamausha mshikilizi wa mataji tatu ya uzani mzito duniani Vladimir Klitschko na kutwaa ubingwa wa dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO
![2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198-300x194.jpg)
Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.
Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.
Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO
Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Klitschko anataka marudio dhidi ya Fury
9 years ago
StarTV29 Nov
Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi
Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12 likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.
Klitschko amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27 na kushinda mara 23 atakuwa akitetea taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.
Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...
11 years ago
Mwananchi16 May
Nditi aisaidia Chelsea kutwaa ubingwa
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Goran: Saa 456 za Simba kutwaa ubingwa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qVRVKl9kono/VTplCtps6dI/AAAAAAABXqk/6TMrrYexCD4/s72-c/3.jpg)
Yanga noma yabakisha pointi 3 kutwaa ubingwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-qVRVKl9kono/VTplCtps6dI/AAAAAAABXqk/6TMrrYexCD4/s1600/3.jpg)
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0.
Timu zikiingia uwanjani.
Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting. Picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...