Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO
Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.
Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.
Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO
Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF
9 years ago
Bongo510 Dec
Tyson Fury anyang’anywa mkanda wa IBF
![2EE3DAA800000578-0-Tyson_Fury_became_heavyweight_champion_of_the_world_beating_Wlad-a-56_1449100672375](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2EE3DAA800000578-0-Tyson_Fury_became_heavyweight_champion_of_the_world_beating_Wlad-a-56_1449100672375-300x194.jpg)
Bingwa wa ngumi dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.
Bondia huyo wa Uingereza mwenye miaka 27, mwanzo alitakiwa kukubali kupigana na Vyacheslav Glazkov ili kutetea mkanda huo lakini badala yake amekubali mchezo wa mruadiano dhidi ya Wladimir Klitschko.
Fury alimpiga Klitschko wa Ukraine kwa pointi Novemba 28 mwaka huu na kushinda mikanda mitatu ya uzito wa juu iliyokuwa ikishikiliwa na bondia huyo.
Mwenyekiti wa IBF...
9 years ago
StarTV29 Nov
Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi
Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12 likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.
Klitschko amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27 na kushinda mara 23 atakuwa akitetea taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.
Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Klitschko anataka marudio dhidi ya Fury
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Fury apokonywa ukanda wa IBF
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqJ7ijFNYRw/Xl0bbKf_k2I/AAAAAAALgao/JVYoCYcjI4g1f-y0UyWoerWu3GySVYA1gCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MWAKINYO KUWANIA UBINGWA WA WBO SUPER WELTER WEIGHT DHIDI YA MJERUMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqJ7ijFNYRw/Xl0bbKf_k2I/AAAAAAALgao/JVYoCYcjI4g1f-y0UyWoerWu3GySVYA1gCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pambano hilo litakalopigwa nchini Ujerumani litafanyika Machi 21 mwaka huu.
Mwakinyo (24) ambaye katika uzito wa Super Welter anashika nafasi ya kwanza kwa ubora barani Afrika na namba 20 Duniani , atakuwa ni bondia wa kwanza Mtanzania kugombea mkanda huo ambao ni wa pili kwa ukubwa baada ya ule...