Fury apokonywa ukanda wa IBF
Wiki 2 tu baada ya kumpiga Wladimir Klitschko na kutwaa mataji yote matatu ya ndondi ya IBF WBA na WBO Tyson Fury amepokonywa ukanda wa IBF
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF
9 years ago
Bongo510 Dec
Tyson Fury anyang’anywa mkanda wa IBF

Bingwa wa ngumi dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.
Bondia huyo wa Uingereza mwenye miaka 27, mwanzo alitakiwa kukubali kupigana na Vyacheslav Glazkov ili kutetea mkanda huo lakini badala yake amekubali mchezo wa mruadiano dhidi ya Wladimir Klitschko.
Fury alimpiga Klitschko wa Ukraine kwa pointi Novemba 28 mwaka huu na kushinda mikanda mitatu ya uzito wa juu iliyokuwa ikishikiliwa na bondia huyo.
Mwenyekiti wa IBF...
9 years ago
Bongo530 Nov
Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO

Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.
Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.
Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO
Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Waziri mkuu Australia apokonywa uongozi
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Mayweather apokonywa taji alilomshinda Pacquiao
11 years ago
BBCSwahili15 Aug
Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake
11 years ago
BBCSwahili29 Aug
Mrembo apokonywa taji kwa ujeuri wake Burma
9 years ago
TheCitizen13 Dec
Cheka faces Russian in a do or die IBF bout