Cheka faces Russian in a do or die IBF bout
Prominent professional boxer Cosmas Cheka will on December 19, fight against Russian Vyacheslav Gusev in the International Boxing Federation (IBF) - International Super featherweight title.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen05 Jan
Cheka-Ajetovic bout support plea
11 years ago
TheCitizen19 Jan
New date for Cheka, Russian fight
10 years ago
Vijimambo21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Fury apokonywa ukanda wa IBF
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF
9 years ago
Bongo510 Dec
Tyson Fury anyang’anywa mkanda wa IBF
Bingwa wa ngumi dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.
Bondia huyo wa Uingereza mwenye miaka 27, mwanzo alitakiwa kukubali kupigana na Vyacheslav Glazkov ili kutetea mkanda huo lakini badala yake amekubali mchezo wa mruadiano dhidi ya Wladimir Klitschko.
Fury alimpiga Klitschko wa Ukraine kwa pointi Novemba 28 mwaka huu na kushinda mikanda mitatu ya uzito wa juu iliyokuwa ikishikiliwa na bondia huyo.
Mwenyekiti wa IBF...
9 years ago
Bongo530 Nov
Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO
Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.
Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.
Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO
Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...
10 years ago
KwanzaJamii17 Sep
Matumla to fight in non-title bout
9 years ago
African Arguments (Registration)30 Nov
#WhatWouldMagufuliDo sparks new bout of Tanzaphilia
African Arguments (registration)
#WhatWouldMagufuliDo sparks new bout of Tanzaphilia
African Arguments (registration)
A few weeks into his presidency, John Magufuli's moves towards free education, anti-corruption and belt-tightening are already recalling memories of Julius Nyerere. Sisters for Magufuli celebrate President John Magufuli's inauguration. Photograph by GCIS.