Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake

Mwanariadha wa Ufaransa, alimaliza wa kwanza katika mbio za mita 3,000 lakini akavua shati lake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mrembo apokonywa taji kwa ujeuri wake Burma

Mshindi wa mashindano ya taji la Miss Asia Pacific World, amevuliwa taji lake akisemekana ni mjeuri, hana hadhi na hastaili taji hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyechana fomu kwa kukataa kuvua hijab mbaroni

WATU wawili wamekamatwa katika vituo viwili tofauti vya uandikishwaji wa daftari la mpigakura kwa kosa la kuchana karatasi ya maelezo ya mpiga kura (Fomu namba moja) na mwingine kwa kosa la kujiandikisha mara mbili.

 

11 years ago

Michuzi

News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria

Mahakama ya Rufani imewaachia huru wafungwa wawili raia China (pichani)  waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uvuvi haramu katika katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclusive Economic Zone- EEZ) Wafungwa hao , Hsu Chin Tai ambaye alikuwa nahodha wa meli ya Tawaliq 1 waliyokamatwa nayo wakifanya uvuvi huo haramu na aliyekuwa wakala wa meli hiyo, pamoja na baharia Zhao Hanquing.   Walitiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Februari 23,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Fury apokonywa ukanda wa IBF

Wiki 2 tu baada ya kumpiga Wladimir Klitschko na kutwaa mataji yote matatu ya ndondi ya IBF WBA na WBO Tyson Fury amepokonywa ukanda wa IBF

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu Australia apokonywa uongozi

Waziri mkuu wa Australia Tony Abbott ameondolewa mamlakani baada ya kura kupigwa katika chama chake cha Liberal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather apokonywa taji alilomshinda Pacquiao

Bondia Bingwa wa dunia wa uzani wa Welter Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumtwanga Manny Pacquiao

 

10 years ago

BBCSwahili

Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu

Ni rahisi sana kwa watu kulalamikia gharama ya kununu baisekli watu wengi wakitaka bei nafuu. Nyingi ya baiskeli nchini Uingereza huuzwa kwa pauni 1,000 shilingi lakini moja na arobaini pesa za Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shati alizozipenda Mandela

Mandela hakusifika tu kwa ushujaa wake bali pia kwa mavazi yake. Lakini nani alikuwa anamshonea shati zake za kipekee?

 

11 years ago

Habarileo

DC azungumzia ‘dhahabu’ ya Kwa Babu Loliondo

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Lali amesema haijathibitishwa kama madini, yanayodaiwa kugundulika Kijiji cha Mgongo huko Samunge kuwa ni dhahabu au la. Amesisitiza kuwa idadi ya watu wanaofika wilayani hapo kusaka dhahabu ni ndogo, ikilinganishwa na iliyojitokeza enzi za `Kikombe cha Babu wa Loliondo’, Mchungaji Ambilikile Mwaisapile.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani