Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu

Ni rahisi sana kwa watu kulalamikia gharama ya kununu baisekli watu wengi wakitaka bei nafuu. Nyingi ya baiskeli nchini Uingereza huuzwa kwa pauni 1,000 shilingi lakini moja na arobaini pesa za Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je utanunua simu iliyotengezwa na Nyasi ?

Watu wengi wamekuwa wakilalamikia teknolojia na ufundi wa simu nyingi kwa misingi kuwa asilimia kubwa inatengezwa kwa plastiki.Sasa kuna simu ya Nyasi

 

9 years ago

BBCSwahili

Uendeshaji baisikeli salama Afrika?

Miji barani huwa na msongamano wa watu na magari na usafiri ni shida na hivyo kuhitaji mbinu mpya lakini uendeshaji baisikeli ni salama?

 

10 years ago

BBCSwahili

Wendesha baisikeli wapiga vita kisukari

Hakuna mwanariadha anae kubali udhaifu haswa wakiwa wamehusishwa katika michezo migumu duniani.

 

11 years ago

Habarileo

DC azungumzia ‘dhahabu’ ya Kwa Babu Loliondo

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Lali amesema haijathibitishwa kama madini, yanayodaiwa kugundulika Kijiji cha Mgongo huko Samunge kuwa ni dhahabu au la. Amesisitiza kuwa idadi ya watu wanaofika wilayani hapo kusaka dhahabu ni ndogo, ikilinganishwa na iliyojitokeza enzi za `Kikombe cha Babu wa Loliondo’, Mchungaji Ambilikile Mwaisapile.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuchimba dhahabu kutoka kwa Kinyesi !

Amini usiamini wanasayansi nchini Marekani wameanza mikakati ya kusafisha dhahabu kutoka kwa kinyesi cha watu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mji wa dhahabu unaongoza kwa mabilionea

Mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini ndio mji ulio na idadi kubwa zaidi ya watu tajiri zaidi au mabilionea barani Afrika

 

11 years ago

Mwananchi

UMITASHUMTA: Magharibi, Kati waanza kwa dhahabu

Wanariadha, Agatha Paulo wa Kanda ya Magharibi na Jilunga Amos (Kanda ya Kati) wamekuwa wanamichezo wa kwanza kutwaa medali za dhahabu kwenye michuano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta).

 

10 years ago

BBCSwahili

Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake

Mwanariadha wa Ufaransa, alimaliza wa kwanza katika mbio za mita 3,000 lakini akavua shati lake

 

9 years ago

Mwananchi

Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta

Ligi ya Mabingwa Afrika imefika patamu. Klabu ya USM Alger ya Algeria  itakutana na TP Mazembe ya DR Congo katika mechi ya fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa kwenye Uwanja wa Du 5 Juillet mjini Algiers, Algeria kati ya Oktoba 30 na Novemba 1, 2015 na mechi ya marudiano itachezwa kwenye Uwanja wa Frederic Kibassa Maliba mjini Lubumbashi, DR Congo kati ya Novemba 6 na 8, 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani