Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je utanunua simu iliyotengezwa na Nyasi ?

Watu wengi wamekuwa wakilalamikia teknolojia na ufundi wa simu nyingi kwa misingi kuwa asilimia kubwa inatengezwa kwa plastiki.Sasa kuna simu ya Nyasi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu

Ni rahisi sana kwa watu kulalamikia gharama ya kununu baisekli watu wengi wakitaka bei nafuu. Nyingi ya baiskeli nchini Uingereza huuzwa kwa pauni 1,000 shilingi lakini moja na arobaini pesa za Kenya.

 

9 years ago

Mtanzania

Nyasi U/Taifa zamkera Kerr

dylanker-haiphongNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amesema wachezaji wake walicheza vizuri dhidi ya Azam FC juzi licha ya kukosa mabao mengi ya wazi yaliyowanyima ushindi na kudai kuwa timu hiyo ilitakiwa kufunga mabao manne kipindi cha kwanza.

Simba wanaoshika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, juzi walilazimishwa sare ya 2-2 na vinara wa ligi hiyo Azam katika mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwingereza huyo alisema jambo jingine...

 

11 years ago

GPL

KANISA LA WALA NYASI LAIBUKA!

Stori: Mwandishi Wetu
KUNA mengi ambayo yamekuwa yakizungumzwa kuhusu huduma za watumishi mbalimbali wa kiroho, moja wapo ni hili la kuanzishwa kanisa la wala nyasi nchini. Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa kanisa hilo lipo maeneo ya Upanga jijini Dar na huduma yao inafanywa kwa kutumia jina la Rabboni Centre Ministries yenye makao yake makuu jijini Pretoria, Afrika Kusini. Gazeti hili lilifika Upanga, kwenye nyumba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyasi bandia zaota mbawa Simba

UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake unatarajiwa kukabidhi uwanja wa Bunju baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo, Juni 29 huku ukifuta mpango wa kuweka nyasi bandia. Mchakato...

 

9 years ago

Habarileo

Mambo yaiva nyasi bandia Kaitaba

UWANJA wa Kaitaba unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 14 kuwekewa nyasi bandia kama haitatokea mabadiliko ya aina yoyote ikiwemo mvua.

 

9 years ago

Habarileo

Nyasi bandia za TFF bado zasota bandarini

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeendelea na harakati zake za kuiomba Serikali kutoa msamaha wa kodi kwa nyasi za bandia ambazo zimezuiliwa bandarini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

 

11 years ago

GPL

KANISA LA WALA NYASI, WENGI WATAKA KUJIUNGA

Na Mwandishi Wetu
WENGI WATAKA KUJIUNGA BAADHI ya wananchi jijini Dar wamejitokeza na kuomba kujiunga na kanisa ambalo waumini wake wanakula nyasi. Waumini wakila nyasi. Kanisa hilo ambalo makao yake makuu ni Afrika Kusini linaloitwa Rabboni Centre Ministries gazeti hili liliandika katika toleo lake lililopita kuwa limeingia nchini na lipo maeneo ya Upanga jijini Dar. Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili mara baada...

 

9 years ago

GPL

HAWAKAI ZIZI MOJA, WANAKULA NYASI ZILEZILE!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Unapowazungumzia mastaa waliojizolea mashabiki wengi Bongo kupitia muziki wa Kizazi Kipya, huwezi kuacha kuwataja Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Wasanii hao, japokuwa ni mahasimu wakubwa wa kutokaa zizi moja, lakini chakushangaza, asilimia fulani ya vitu wanavyofanya vinafanana kiasi cha kuonekana kama mafahari ambao hawakai zizi moja lakini wanakula...

 

9 years ago

BBCSwahili

200 washikwa kwa kukanyaga nyasi Nairobi

Karibu watu 200 wamekamatwa kwenye mjii mkuu wa kenya Nairobi kwa kukanyaga katika kile kinachotajwa kuwa nyasi ya Kidero

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani