Je utanunua simu iliyotengezwa na Nyasi ?
Watu wengi wamekuwa wakilalamikia teknolojia na ufundi wa simu nyingi kwa misingi kuwa asilimia kubwa inatengezwa kwa plastiki.Sasa kuna simu ya Nyasi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Nyasi U/Taifa zamkera Kerr
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amesema wachezaji wake walicheza vizuri dhidi ya Azam FC juzi licha ya kukosa mabao mengi ya wazi yaliyowanyima ushindi na kudai kuwa timu hiyo ilitakiwa kufunga mabao manne kipindi cha kwanza.
Simba wanaoshika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, juzi walilazimishwa sare ya 2-2 na vinara wa ligi hiyo Azam katika mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwingereza huyo alisema jambo jingine...
11 years ago
GPLKANISA LA WALA NYASI LAIBUKA!
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Nyasi bandia zaota mbawa Simba
UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake unatarajiwa kukabidhi uwanja wa Bunju baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo, Juni 29 huku ukifuta mpango wa kuweka nyasi bandia. Mchakato...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mambo yaiva nyasi bandia Kaitaba
UWANJA wa Kaitaba unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 14 kuwekewa nyasi bandia kama haitatokea mabadiliko ya aina yoyote ikiwemo mvua.
9 years ago
Habarileo19 Sep
Nyasi bandia za TFF bado zasota bandarini
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeendelea na harakati zake za kuiomba Serikali kutoa msamaha wa kodi kwa nyasi za bandia ambazo zimezuiliwa bandarini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
11 years ago
GPLKANISA LA WALA NYASI, WENGI WATAKA KUJIUNGA
9 years ago
GPLHAWAKAI ZIZI MOJA, WANAKULA NYASI ZILEZILE!
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
200 washikwa kwa kukanyaga nyasi Nairobi