Nyasi bandia zaota mbawa Simba
UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake unatarajiwa kukabidhi uwanja wa Bunju baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo, Juni 29 huku ukifuta mpango wa kuweka nyasi bandia. Mchakato...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Nov
Mambo yaiva nyasi bandia Kaitaba
UWANJA wa Kaitaba unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 14 kuwekewa nyasi bandia kama haitatokea mabadiliko ya aina yoyote ikiwemo mvua.
10 years ago
Habarileo19 Sep
Nyasi bandia za TFF bado zasota bandarini
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeendelea na harakati zake za kuiomba Serikali kutoa msamaha wa kodi kwa nyasi za bandia ambazo zimezuiliwa bandarini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
10 years ago
Habarileo15 Oct
Mukangara kupigania nyasi bandia zilizokwama bandarini
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara ameahidi kulivalia njuga suala la kukwama kwa nyasi bandia katika bandari ya Dar es Salaam zinazokusudiwa kupelekwa kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.
11 years ago
Michuzi05 May
MTAALAMU WA NYASI BANDIA KUTOKA FIFA ATUA BUKOBA LEO, APIMA UWANJA WA KAITABA
11 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Uraia pacha waota mbawa
MATUMAINI ya Watanzania waishio nje ya nchi kupata uraia pacha yameota mbawa baada ya serikali kuweka bayana kuna athari kubwa za kiusalama. Licha ya sababu hiyo ya serikali kutotaka liwemo...
11 years ago
Mwananchi08 Oct
Madawati ya ‘Chenji ya Rada’ yameota mbawa?
11 years ago
Mwananchi08 Nov
Muswada wa habari waota mbawa tena
11 years ago
GPL
KANISA LA WALA NYASI LAIBUKA!
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Je utanunua simu iliyotengezwa na Nyasi ?