Uraia pacha waota mbawa
MATUMAINI ya Watanzania waishio nje ya nchi kupata uraia pacha yameota mbawa baada ya serikali kuweka bayana kuna athari kubwa za kiusalama. Licha ya sababu hiyo ya serikali kutotaka liwemo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Muswada wa habari waota mbawa tena
10 years ago
Habarileo30 Aug
Uraia pacha wabezwa
SUALA la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa na uzalendo kupungua.
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Uraia pacha wakataliwa
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na mwandishi Wetu
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.
Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.
“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
10 years ago
Habarileo13 Aug
Uraia pacha pasua kichwa
SUALA la uraia wa nchi mbili, linaonekana kupasua vichwa vya wanakamati hasa wanaotoka Zanzibar, kutokana na historia ya nchi hiyo.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Kizungumkuti cha uraia pacha
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
EAC yashauriwa kuruhusu uraia pacha
MWANASHERIA Mkuu mstaafu wa Kenya, Amos Wako, amezishauri nchi wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuruhusu wananchi wao kuwa na uraia pacha. Alisema Katiba mpya ya Kenya imetambua suala hilo...
10 years ago
Habarileo16 Aug
Kikwete: Uraia pacha ni suala la kikatiba
RAIS Jakaya Kikwete amewaambia Watanzania waishio nje ya nchi kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake, hawana pingamizi juu ya Watanzania hao kuwa na uraia wa nchi mbili, lakini akasema kwa kuwa suala hilo ni la Kikatiba, hana mamlaka yote ya kulihalalisha.
11 years ago
Michuzi19 Mar