Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mukangara kupigania nyasi bandia zilizokwama bandarini

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara ameahidi kulivalia njuga suala la kukwama kwa nyasi bandia katika bandari ya Dar es Salaam zinazokusudiwa kupelekwa kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Nyasi bandia za TFF bado zasota bandarini

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeendelea na harakati zake za kuiomba Serikali kutoa msamaha wa kodi kwa nyasi za bandia ambazo zimezuiliwa bandarini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyasi bandia zaota mbawa Simba

UONGOZI wa Simba unaomaliza muda wake unatarajiwa kukabidhi uwanja wa Bunju baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo, Juni 29 huku ukifuta mpango wa kuweka nyasi bandia. Mchakato...

 

9 years ago

Habarileo

Mambo yaiva nyasi bandia Kaitaba

UWANJA wa Kaitaba unatarajiwa kukamilika ndani ya siku 14 kuwekewa nyasi bandia kama haitatokea mabadiliko ya aina yoyote ikiwemo mvua.

 

11 years ago

Michuzi

MTAALAMU WA NYASI BANDIA KUTOKA FIFA ATUA BUKOBA LEO, APIMA UWANJA WA KAITABA

Na Faustine Ruta, Bukoba Mtaalamu wa nyasi bandia kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Ian McClements amewasili Bukoba leo hii Asubuhi kwa Ndege ya kukodi.  McClements akiwa hapa Bukoba amekagua Uwanja wa Kaitaba, na baadae amekwea tena ndege yake kuelekea  jijini Mwanza kukagua Uwanja wa Nyamagana. Dr. Ian McClements akiteta jambo na Jumanne Chama Umande ambaye ni Katibu wa KRFA kwenye Uwanja wa Kaitaba leo hii. Viwanja hivi vinawekwa nyasi bandia kwa ufadhili wa FIFA...

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga

 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa eneo hilo wakati akipokuwa akitangaza sera za chama chake na kuwaomba wampigie kura katika uchaguzi ujao pamoja na madiwani wengine sita wa chama cha mapinduzi.Dkt Fenella alitaja vipaumbele vyake katika jimbo hilo ambavyo ni Maji,Elimu,Afya pamoja na ajira kwa Vijana na kuwasihi wakazi hao kuchagua maendeleo bora yatayopatikana ndani ya CCM.Mwenyekiti  wa CCM mkoa wa Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Tucta kupigania PAYE ishuke

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), limeazimia kuendelea kupigania kushushwa kwa Kodi ya Mshahara (PAYE) kutoka asilimia 13 inayokatwa hivi sasa hadi asilimia tisa, ili mfanyakazi apate ahueni ya maisha.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana aahidi kupigania Manyoni kugawanywa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kuwa Wilaya ya Manyoni inagawanywa kuwa wilaya mbili ili kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu zaidi na wananchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe wamewasili mjini Osaka, Japan wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 5 kupigania taji la soka la BBC

Mshindi wa taji hilo atatangazwa mnamo mwezi May.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani