Kinana aahidi kupigania Manyoni kugawanywa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kuwa Wilaya ya Manyoni inagawanywa kuwa wilaya mbili ili kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu zaidi na wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog21 May
Kinana afanya makubwa Manyoni, azindua nyumba ya kisasa ya mfugaji aliyezinduka kwa sera za CCM
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana, Mei 20, 2014, kwenye Viwanja vya Stendi mjini Manyoni, akiwa katika siku yake ya pili ya ziara ya siku nane mkoani Singida, kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi huku akijadiliana nao njia ya kuzitatua mkoani humo.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia kwenye mkutano huo.
Wananchi wakishangilia kwenye mkutano huo.
Katibu Mkuu...
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni
Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Manyoni
MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.
Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake 51,watoto wa...
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Kinana aahidi kusaidia wakulima Mponde
10 years ago
Habarileo21 Mar
Kinana atembelea alikozaliwa, aahidi kutatua kero ya ardhi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amefika katika kijiji alichozaliwa na kusoma elimu ya msingi cha Mbughuni wilayani Arumeru mkoani Arusha na kuahidi kusaidia kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi.
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
KINANA aahidi CCM kushinda kwa kishindo uchaguzi mkuu Zanzibar 2015
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyeka majani mbele ya Chuo cha Sayansi ya Bahari (IMS), alipotembelea chuo hicho kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam eneo la Buyu, Unguja Zanzibar jana wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi ili zipatiwe ufumbuzi. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kinana akikagua jengo jipya la Chuo cha...
11 years ago
Michuzi18 May
11 years ago
Michuzi27 Mar
KINANA AAHIDI KUFIKISHA MGOGORO WA UJENZI MJI WA KISASA KIGAMBONI KATIOKA VIKAO VYA NGAZI ZA JUU CCM
![](https://2.bp.blogspot.com/-BvmQyuuMxjE/UzO3DTRxXDI/AAAAAAAAk70/rq9tOzc5Uhc/s1600/1.+Kinana+akiwahutubia+wananchi+katika+mkutano+wa+hadhara+wa+Kigamboni.jpg)
Akizungumza na wananchi wa Kigamboni, Ndugu Kinana ameahidi kulichukua suala linaloonekana kuzua mgogoro mkubwa baina ya wananchi na serikali la ujenzi wa mji wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Dk. Ndugulile afurahia Kigamboni kugawanywa
MBUNGE wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile, amesema uamuzi wa Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Temeke kuridhia kuligawanya jimbo lake utakuwa na manufaa kwa maendeleo ya wakazi wake. Alisema ukubwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ndlH41M8xGk/VaQaJ0yKaPI/AAAAAAAHpeM/CUhn7P9IjNg/s72-c/tume.png)