Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni

DSC07183

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly,Manyoni        

MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.

Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake  51,watoto wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida

DSC03899

Waziri wa ujenzi Dk.John Magufuli, akipokelewa katika kijiji cha Chaya mpakani mwa Singida na mkoa wa Tabora na Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Matari Masige. Dk.Magufuli alikuwa akitokea mkoa wa Tabora ambako alikuwa kikazi kakagua barabara.

Na Nathaniel Limu, Itigi

Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe  Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Njaa yanyemelea Manyoni

WAKAZI 1,904 wa Kata ya Saranda, Tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wanakabiliwa na upungufu wa chakula. Diwani wa Kata ya Saranda, Juma Ramadhani aliyasema hayo alipokuwa akielezea hali ya chakula...

 

11 years ago

Trophies

Manyoni district recovers 200m/


Manyoni district recovers 200m/- trophies
Daily News
THE government in Manyoni District in collaboration with the anti-poaching squad has impounded various government trophies worth over 202.5m/-. Manyoni District Commissioner (DC), Fatma Toufiq, listed the contraband recovered as 28 pieces of elephant ...

 

11 years ago

GPL

BASI LAGONGANA NA TRENI MANYONI

Basi la Bunda Express likiwa eneo la ajali Manyoni, Singida. Basi la Bunda Express likitokea Dodoma-Mwanza, limegongana na treni eneo la Manyoni ambapo inadaiwa watu wanne wamepoteza maisha. Majeruhi tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wa treni wakwama Manyoni

ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana aahidi kupigania Manyoni kugawanywa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kuwa Wilaya ya Manyoni inagawanywa kuwa wilaya mbili ili kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu zaidi na wananchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Chiligati aachia jimbo la Manyoni mashariki

SAM_0035

Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Manyoni mashariki (CCM), Kapteni Mstaafu John Chiligati, akiwaaga watendaji na madiwani wa Halmashauri ya Manyoni baada ya kutangaza kutogombea tena nafasi hiyo.(PICHA zote na Jumbe Ismailly). SAM_0027 Baadhi ya wajumbe wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni waliomaliza muda wao julai, mwaka huu wa 2015 wakisikiliza taarifa zinazowasilishwa na watendaji wa Halmashauri ya Manyoni. SAM_0045 Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni...

 

9 years ago

TheCitizen

Magufuli’s promise on Manyoni-Dar railway

He also says electricity will help businessmen to venture into industries

 

11 years ago

TheCitizen

Sh180 million ivory seized in Manyoni

The anti-poaching squad in Manyoni District has seized a total of 61 elephant tusks valued at Sh176.7 million during the past seven days.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani