Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni
Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Manyoni
MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.
Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake 51,watoto wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida
Na Nathaniel Limu, Itigi
Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Njaa yanyemelea Manyoni
WAKAZI 1,904 wa Kata ya Saranda, Tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wanakabiliwa na upungufu wa chakula. Diwani wa Kata ya Saranda, Juma Ramadhani aliyasema hayo alipokuwa akielezea hali ya chakula...
11 years ago
Trophies13 Jul
Manyoni district recovers 200m/
Manyoni district recovers 200m/- trophies
Daily News
THE government in Manyoni District in collaboration with the anti-poaching squad has impounded various government trophies worth over 202.5m/-. Manyoni District Commissioner (DC), Fatma Toufiq, listed the contraband recovered as 28 pieces of elephant ...
11 years ago
GPLBASI LAGONGANA NA TRENI MANYONI
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Abiria wa treni wakwama Manyoni
ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...
11 years ago
Habarileo22 May
Kinana aahidi kupigania Manyoni kugawanywa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kuwa Wilaya ya Manyoni inagawanywa kuwa wilaya mbili ili kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu zaidi na wananchi.
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Chiligati aachia jimbo la Manyoni mashariki
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Magufuli’s promise on Manyoni-Dar railway
11 years ago
TheCitizen04 Apr
Sh180 million ivory seized in Manyoni