Njaa yanyemelea Manyoni
WAKAZI 1,904 wa Kata ya Saranda, Tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wanakabiliwa na upungufu wa chakula. Diwani wa Kata ya Saranda, Juma Ramadhani aliyasema hayo alipokuwa akielezea hali ya chakula...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni
Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Manyoni
MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.
Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake 51,watoto wa...
10 years ago
Habarileo02 Sep
Kashfa yanyemelea Jiji la Arusha
KASHFA ya matumizi mabaya ya madaraka, inainyemelea Halmashauri ya Jiji la Arusha, baada ya kuibuka madai ya kutumika kwa nyaraka za kughushi, kuipa zabuni kampuni iliyokosa sifa ya uwakala wa ukusanyaji ushuru wa maegesho ya magari.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeDx9ftDTuwes5GF4Z9WpyKIBSCPvQwRbTuF8mpq2FKAFBjb*UBYFwNCV7njho3CQ5xLTKglMuJfhIhXHmsE3UJW/BUNDAEXP3.jpg?width=650)
BASI LAGONGANA NA TRENI MANYONI
11 years ago
Trophies13 Jul
Manyoni district recovers 200m/
Daily News
THE government in Manyoni District in collaboration with the anti-poaching squad has impounded various government trophies worth over 202.5m/-. Manyoni District Commissioner (DC), Fatma Toufiq, listed the contraband recovered as 28 pieces of elephant ...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Abiria wa treni wakwama Manyoni
ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Magufuli’s promise on Manyoni-Dar railway
11 years ago
Habarileo22 May
Kinana aahidi kupigania Manyoni kugawanywa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kuwa Wilaya ya Manyoni inagawanywa kuwa wilaya mbili ili kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu zaidi na wananchi.
11 years ago
TheCitizen04 Apr
Sh180 million ivory seized in Manyoni
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Chiligati aachia jimbo la Manyoni mashariki
![SAM_0027](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/SAM_0027.jpg)
![SAM_0045](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/SAM_0045.jpg)