MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI BAADA YA KUGAWANYWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndlH41M8xGk/VaQaJ0yKaPI/AAAAAAAHpeM/CUhn7P9IjNg/s72-c/tume.png)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Haya ndio majimbo mapya 26 ya uchaguzi baada ya kugawanywa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Majimbo 26 Mapya 13 JULAI 2015.pdf
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dvJ6PFhEXBc/VaPlFJN4PZI/AAAAAAADxx4/g0hi1THALTk/s72-c/Majimbo%2B26%2BMapya%2B13%2BJULAI%2B2015.png)
10 years ago
MichuziNEC YATANGAZA MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya uchaguzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) leo imetangaza majimbo mapya ya uchaguzi 26
10 years ago
MichuziNEC KUGAWA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI KWA VIGEZO
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini(NEC),inatarajia kuchunguza mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi na kuyagawa kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa NEC,Jaji Mstaafu Damian Lubuva wakati alipokutana na viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili masuala mbalimbali ya Tume katika kuelekea uchaguzi Mkuu.
Amesema ugawaji wa Majimbo,Tume imezingatia vigezo mbalimbali...
10 years ago
MichuziNEC KUTANGAZA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI MKUU 2015, JUNI 31
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii MAJIMBO mapya ya uchaguzi kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuweza majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...
10 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUHUSU MAJIMBO MAPYA
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Uchaguzi, Julius Malaba, akizungumza jambo. Sehemu ya viongozi wa vyama vya siasa katika mkutano huo. Prof. Lipumba akichangia katika mkutano…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s72-c/P5239263.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA KIKAO CHA DHARURA CHA KAMATI YA USHAURI YA MKOA RCC NA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA KUANZISHA MAJIMBO MAWILI MAPYA YA UCHAGUZI KATIKA WILAYA ZA SUMBAWANGA NA KALAMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s640/P5239263.jpg)
Majimbo hayo yatazaliwa katika majimbo yaliyopo hivi sasa ambapo kwa jimbo la Kwela ambalo lipo katika Wilaya...
10 years ago
Habarileo13 May
Majimbo mapya hadharani Juni 31
MAJIMBO mapya ya uchaguzi yanatarajiwa kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuwezesha majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania