DC azungumzia ‘dhahabu’ ya Kwa Babu Loliondo
MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Lali amesema haijathibitishwa kama madini, yanayodaiwa kugundulika Kijiji cha Mgongo huko Samunge kuwa ni dhahabu au la. Amesisitiza kuwa idadi ya watu wanaofika wilayani hapo kusaka dhahabu ni ndogo, ikilinganishwa na iliyojitokeza enzi za `Kikombe cha Babu wa Loliondo’, Mchungaji Ambilikile Mwaisapile.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Upatu, Deci, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!
NIANZE kwa kuomba radhi wasomaji wangu kwamba katika sehemu ya mwisho ya makala yangu ya toleo li
Johnson Mbwambo
11 years ago
Michuzi24 Feb
11 years ago
Mwananchi21 May
Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge
10 years ago
Vijimambo24 Sep
Babu Tale azungumzia ujio mpya wa Diamond, kazi zote zimetayarishwa nje
![](http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/23/cache/Diamond%20mpya_full.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_115223.jpg)
PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200525_115223.jpg)
Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.
Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.
Babu Njenje...
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
THRDC watoa tamko kwa umma juu ya hali ya watetezi wa haki za wafugaji Loliondo
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu THRDC Taifa, Bw. Onesmo Olengurumwa, akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kulaani vikali kutishwa kwa watetezi wa haki za wafugaji walioko Loliondo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo uliofanyika kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dar es Salaam.
tamko loliondo chragg kiswahili.doc by moblog
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kuchimba dhahabu kutoka kwa Kinyesi !
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Mji wa dhahabu unaongoza kwa mabilionea