Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upatu, Deci, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

NIANZE kwa kuomba radhi wasomaji wangu kwamba katika sehemu ya mwisho ya makala yangu ya toleo li

Johnson Mbwambo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

DC azungumzia ‘dhahabu’ ya Kwa Babu Loliondo

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Lali amesema haijathibitishwa kama madini, yanayodaiwa kugundulika Kijiji cha Mgongo huko Samunge kuwa ni dhahabu au la. Amesisitiza kuwa idadi ya watu wanaofika wilayani hapo kusaka dhahabu ni ndogo, ikilinganishwa na iliyojitokeza enzi za `Kikombe cha Babu wa Loliondo’, Mchungaji Ambilikile Mwaisapile.

 

10 years ago

Michuzi

Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe Edward LowassaMsemaji wa Waziri Mkuu Mstaafu  Mhe. Edward Lowassa,  Bw. Aboubakary Liongo---- Ofisi ya mbunge na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana ilikanusha vikali uvumi uliozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa mbunge huyo wa Monduli amelazwa nchini Ujerumani.

Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Sakata la ardhi Loliondo: Wafugaji sasa watishia kuinyima kura CCM

Mwenyekiti wa Halmashauri ya CCM Wilaya ya Ngorongo, Mkoa wa Arusha, pamoja na madiwani wake wamesema wamechoka kwa vitendo vya usumbufu, unyanyasaji na kuishi maisha yasiyoeleweka kufuatia hatua ya Waziri wa Maliasili na Utalii kutaka kutwaa ardhi yao.

Wamesema malengo hayo ya waziri yakitekelezwa wapo tayari kurudisha kadi zote za CCM na kuwaeleza wananchi wao katu wasiwapigie kura wagombea wote wa chama hicho.

Walisema serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...

 

10 years ago

Vijimambo

SNOOP DOGG SASA KUITWA BABU

Snoop Dogg mwenye umri wa miaka 43 sasa ni babu baada ya mtoto wake wa kiume Corde Broadus mwenye umri wa miaka 21 kupata kinda mwenzake siku ya tarehe 10, Mama wa mtoto huyo ni Jessica Kyzer mwenye umri wa miaka 23 na mwenye professional ya Modeling huko Anaheim, California.
Mama wa mtoto Zion ndo huyu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Edward Lowassa

Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ?

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani