Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakata la ardhi Loliondo: Wafugaji sasa watishia kuinyima kura CCM

Mwenyekiti wa Halmashauri ya CCM Wilaya ya Ngorongo, Mkoa wa Arusha, pamoja na madiwani wake wamesema wamechoka kwa vitendo vya usumbufu, unyanyasaji na kuishi maisha yasiyoeleweka kufuatia hatua ya Waziri wa Maliasili na Utalii kutaka kutwaa ardhi yao.

Wamesema malengo hayo ya waziri yakitekelezwa wapo tayari kurudisha kadi zote za CCM na kuwaeleza wananchi wao katu wasiwapigie kura wagombea wote wa chama hicho.

Walisema serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji sasa watishia kufunga mnada Dumila

Migogoro ya ardhi wilayani Kilosa, Morogoro, itaikosesha mapato halmashauri ya wilaya hiyo, baada ya wafugaji kuazimia kutouza mifugo yao kwenye mnada mkubwa wa mifugo wa Dumila na badala yake kuhamishia shughuli hizo huko Mikongeni katika Barabara ya Morogoro-Dodoma, wilayani Mvomero.

 

11 years ago

Mwananchi

Busara za Watanzania ni kuinyima kura CCM 2015

CCM inaendelea kujikaanga kwa mafuta yake yenyewe kwani kila wanachofanya hakiendi vyema kwa sababu ya kutokuwa na nia njema na Watanzania ambao bado ni maskini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watishia kutopiga kura kwa kunyimwa ardhi

BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji Loliondo waondolewa hofu

SERIKALI imewatoa hofu jamii ya wafugaji wa kimasai waishio Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro juu kuwepo kwa taarifa za kuwaondoa katika eneo wanaloishi na kuligawa kwa mwekezaji kutoka Falme za...

 

10 years ago

Michuzi

WAFUGAJI WALIOVAMIA ENEO LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOA MIFUGO YAO

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akifungua bomba la maji kuashiria uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji katika Kata ya Olosokwani, Loliondo wilayani Ngorongoro, juzi. Mradi huo umefadhiliwa na Serikali ya Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imewekeza wilayani humo. Uzinduzi huo pia ulihudhuriwa na Balozi wa UAE nchini Tanzania, Mbarouk Nassor Mbarouk.
 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akijindaa kumtwisha ndoo ya maji mkazi wa Kata ya Olosokwani, ambako alizindua mradi...

 

9 years ago

Vijimambo

WASIOONA WATISHIA KUTOMPIGIA KURA MWANASIASA AMBAYE HAJAWAWEKEA MAZINGIRA RAFIKI YA WAO KUPIGA KURA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

 Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Jonas Lubago na Katibu Mkuu wa TLB, Emmanuel Simon Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.
Na Dotto...

 

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

THRDC watoa tamko kwa umma juu ya hali ya watetezi wa haki za wafugaji Loliondo

DSC_0794

Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu THRDC Taifa, Bw. Onesmo Olengurumwa, akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kulaani vikali kutishwa kwa watetezi wa haki za wafugaji walioko Loliondo jijini Dar es Salaam.

DSC_0827

Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo uliofanyika kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dar es Salaam.

tamko loliondo chragg kiswahili.doc by moblog

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 20 mgogoro wa ardhi Loliondo imetosha

Ni zaidi ya miaka 20 sasa imepita bila mgogoro wa ardhi katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani