Wafugaji sasa watishia kufunga mnada Dumila
Migogoro ya ardhi wilayani Kilosa, Morogoro, itaikosesha mapato halmashauri ya wilaya hiyo, baada ya wafugaji kuazimia kutouza mifugo yao kwenye mnada mkubwa wa mifugo wa Dumila na badala yake kuhamishia shughuli hizo huko Mikongeni katika Barabara ya Morogoro-Dodoma, wilayani Mvomero.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Sakata la ardhi Loliondo: Wafugaji sasa watishia kuinyima kura CCM
Wamesema malengo hayo ya waziri yakitekelezwa wapo tayari kurudisha kadi zote za CCM na kuwaeleza wananchi wao katu wasiwapigie kura wagombea wote wa chama hicho.
Walisema serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Watishia kufunga lango la Ngorongoro
MADIWANI wa Halmashauri ya Ngorongoro mkoani Arusha, wameitaka serikali kutekeleza ahadi yake ya kupeleka chakula kwa wakazi wa Tarafa ya Ngorongoro ambao wanakabiliwa na njaa hivi sasa ili kuzuia mpango...
10 years ago
Habarileo06 Nov
Wazalishaji sukari watishia kufunga viwanda
WAZALISHAJI wa sukari nchini wametishia kufunga viwanda vyao iwapo Serikali itashindwa kuchukua uamuzi sahihi utakaosaidia kunusuru viwanda vya ndani kwa manufaa ya sera ya kukuza uchumi wa wananchi na taifa.
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Tanga watishia kufunga maduka kugomea EFD
10 years ago
MichuziJUKATA WATAJA MAADUI WAWILI WA KATIBA MPYA, WATISHIA KWENDA DODOMA KUFUNGA MILANGO YA BUNGE
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watishia kufunga viwanda vya bia na vya pombe kali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfAAjumKetDBeS*KK7ok*uzKAfbtzft9nubRLCkDaw*p90*Z9lGB2CUqi3KGyAwYRE9AGz1hpIqPOsxtKKMRtXsC/otilia.jpg)
OTILIA SASA KUFUNGA NDOA BOMANI
11 years ago
Mwananchi17 May
Serikali sasa kutenga maeneo ya wafugaji nchini
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Wafugaji samaki sasa wapewa somo la ufugaji bora nchini