Wafugaji samaki sasa wapewa somo la ufugaji bora nchini
Wafugaji wa samaki nchini wametakiwa kuacha ufugaji wa mazoea ambao huwasababishia hasara, na badala yake washirikiane na wataalumu kubaini mbegu bora na zinazofaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziULEGA AWAHAKIKISHIA WAFUGAJI WA SAMAKI KUENDELEA KUBORESHA ZAIDI MAZINGIRA BORA YA UFUGAJI
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewahakikishia wafugaji wa samaki nchini kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira bora ya kuwawezesha wafugaji kufuga samaki. Mhe. Ulega ameyasema hayo Februari 26,2020 kwenye Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali, Wafanyabiashara na...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wauguzi nchini wapewa somo
WAUGUZI nchini wametakiwa kufahamu kuwa wao ni nguzo muhimu katika sekta ya afya na kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu, ili waweze kukumbukwa na jamii pindi watakapostaafu. Kauli hiyo ilitolewa...
11 years ago
Mwananchi17 May
Serikali sasa kutenga maeneo ya wafugaji nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OVGUPJuKTCc/XuodLT8uq1I/AAAAAAALuPk/ppH-_F58950m4Z45C5lQXXetGX0u2zq8ACLcBGAsYHQ/s72-c/BWAWA.png)
Ufugaji wa Samaki ni neema Njombe
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
SMZ kuimarisha ufugaji wa samaki
NA MWANDISHI MAALUMU, ZANZIBAR
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema azma yake ya kuimarisha ufugaji wa samaki nchini inatekelezwa kikamilifu na itaendelea kutoa mafunzo na huduma kwa wananchi ili wajiimarishe kiuchumi na kuchangia pato la taifa.
Rais wa Zanzibar, Dk, Ali Mohamed Sheni, alisema hayo juzi alipozungumza na vikundi vya ushirika wa ufugaji samaki vya Hakiliki katika eneo la Mwambe, Wilaya ya Mkoani na Siri Salt and Fish Farm cha Pujini, wilayani Chakechake.
Alisema serikali...
11 years ago
Habarileo12 Jul
SMZ yapania kuendeleza ufugaji samaki
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema ili kuhakikisha azma yake ya kuimarisha ufugaji wa samaki nchini inatekelezwa, itaendelea kutoa mafunzo na huduma mbalimbali kwa wananchi ili waweze kutumia fursa hiyo kujiimarisha kiuchumi na kuchangia pato la taifa.
10 years ago
MichuziMHE. KAMANI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LwyxPPsl1wU/U5gWGdiSyqI/AAAAAAAFpu0/UKMeJ_FWha4/s72-c/01.jpg)
Wafugaji wa Ng,ombe Chato Watakiwa Kuachana na Ufugaji wa Mazoea
Wafugaji wa Ngo’ombe Wilayani Chato mkoani Geita wameaswa kuachana na ufugaji wa mazoea na badala yake wafuge kisasa zaidi. Wito huo umetolewa leo Wilayani hapa na Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo wakati akifungua kikao cha pamoja na wafugaji wa Ng’ombe na wataalam wa mifugo ambacho pia kilidhuriwa na mwekezaji wa kiwanda cha kusindika nyama kutoka jijini Mwanza cha Chobo Investiment.
Mkuu wa Wilaya ya Chato amesema wafugaji wengi nchini wamekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s72-c/Untitled1.png)
SOMO LA UFUGAJI: UZURI WA MAYAI YA KWARE KAMA CHAKULA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e5XLeDtcRys/U_xEZGSB7bI/AAAAAAAGCc0/HnANso-Dm-g/s1600/Untitled2.png)
Katika siku za hivi karibuni ndege aitwae kware ameanza kuwa ndege maarufu katika baadhi ya wafugaji katika nchi yetu na kwa wale ambao walikuwa wakiwawinda porini enzi hizo bado wana imani kuwa ndege huyu hawezi kufungwa kama hatakimbia basi atajiua, lakini kwa wale wanaotaka kumfuga ndege huyu mdogo mwenye mayai matamu ya madoa doa wanaweza sasa inaweza kugeuka chanzo cha mapato na sehemu ya chakula bora kwa familia.
Leo ningependa niingie ndani kuwa nini hasa tofauti ya mayai ya kware na...