Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ kuimarisha ufugaji wa samaki


NA MWANDISHI MAALUMU, ZANZIBAR
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema azma yake ya kuimarisha ufugaji wa samaki nchini inatekelezwa kikamilifu na itaendelea kutoa mafunzo na huduma kwa wananchi ili wajiimarishe kiuchumi na kuchangia pato la taifa.
Rais wa Zanzibar, Dk, Ali Mohamed Sheni, alisema hayo juzi alipozungumza na vikundi vya ushirika wa ufugaji samaki vya Hakiliki katika eneo la Mwambe, Wilaya ya Mkoani na Siri Salt and Fish Farm cha Pujini, wilayani Chakechake.
Alisema serikali...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SMZ yapania kuendeleza ufugaji samaki

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema ili kuhakikisha azma yake ya kuimarisha ufugaji wa samaki nchini inatekelezwa, itaendelea kutoa mafunzo na huduma mbalimbali kwa wananchi ili waweze kutumia fursa hiyo kujiimarisha kiuchumi na kuchangia pato la taifa.

 

5 years ago

Michuzi

Ufugaji wa Samaki ni neema Njombe

Na Amiri kilagalila,Njombe Wafugaji wa samaki mkoani Njombe wametakiwa kuwekeza zaidi katika ufugaji huo kufuatia utafiti kuonyesha fursa kubwa ya zao  hilo kwa aina ya Kambale, Sato na Perege Kwa muda mrefu wakazi wa mkoa wa Njombe wamekuwa hawafugi samaki katika baadhi ya maeneo kwa kuhofia hali ya hewa ya baridi ambapo Niko Msigwa mkulima wa kijiji cha Kinenulo ameanza kunufaika na ufugaji wa huo Biashara ya samaki mkoani Njombe imekuwa na soko la ndani la uhakika na ndio sababu iliyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafugaji samaki sasa wapewa somo la ufugaji bora nchini

Wafugaji wa samaki nchini wametakiwa kuacha ufugaji wa mazoea ambao huwasababishia hasara, na badala yake washirikiane na wataalumu kubaini mbegu bora na zinazofaa.

 

10 years ago

Michuzi

MHE. KAMANI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA

Mgeni Rasmi Waziri wa Maendeleao ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (MB) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji wa Samaki ndani ya Ziwa Viktoria Kiteule cha Bulamba kwa kutumia teknolojia mpya ya vizimba (Cages). Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe.John Henjewele, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael M. Muhuga.Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akipandikiza...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ kuimarisha maslahi ya majaji, mahakimu

WAZIRI wa Sheria na Katiba, Abubakar Khamis Bakary amesema maslahi ya majaji na mahakimu ikiwemo nyongeza za mishahara yataimarishwa katika mwaka wa fedha 2014-2015 kwa ajili ya kupunguza vishawishi vya rushwa.

 

10 years ago

Habarileo

SMZ kuimarisha vyuo vya amali

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaimarisha elimu ya vyuo vya amali kuwa bora zaidi kwa lengo la kuwafanya wahitimu wake kuingia katika soko la ajira la sekta binafsi.

 

5 years ago

Michuzi

ULEGA AWAHAKIKISHIA WAFUGAJI WA SAMAKI KUENDELEA KUBORESHA ZAIDI MAZINGIRA BORA YA UFUGAJI

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza katika Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali,Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Mkoa wa Shinyanga.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog 
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewahakikishia wafugaji wa samaki nchini kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira bora ya kuwawezesha wafugaji kufuga samaki.  Mhe. Ulega ameyasema hayo Februari 26,2020 kwenye Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali, Wafanyabiashara na...

 

10 years ago

Habarileo

SMZ kuendelea kuimarisha ubora wa vyuo vikuu

Dk SheinRAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali itaendelea na wajibu wake wa kuhakikisha kuwepo kwa mazingira mazuri na fursa za kutosha za elimu kwa kuimarisha ubora wa vyuo vikuu viliopo nchini.

 

5 years ago

Michuzi

Ndege ya mizigo kuimarisha usafirishaji samaki nje ya nchi


Waziri wa  Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema mipango ya Serikali kununua ndege ya mizigo utaimarisha usafirishaji wa minofu ya samaki moja kwa moja kwenda nje ya nchi kutokea uwanja wa ndege wa Mwanza.

Waziri Kamwelwe ameyasema hayo Jumatatu Juni Mosi 2020 jijini Mwanza wakati akifungua mkutano wa kupokea mikakati ya pamoja kuondoa vikwazo na kufanikisha biashara ya usafirishaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi hususani mataifa ya Ulaya ambako kumekuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani