SOMO LA UFUGAJI: UZURI WA MAYAI YA KWARE KAMA CHAKULA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s72-c/Untitled1.png)
Katika siku za hivi karibuni ndege aitwae kware ameanza kuwa ndege maarufu katika baadhi ya wafugaji katika nchi yetu na kwa wale ambao walikuwa wakiwawinda porini enzi hizo bado wana imani kuwa ndege huyu hawezi kufungwa kama hatakimbia basi atajiua, lakini kwa wale wanaotaka kumfuga ndege huyu mdogo mwenye mayai matamu ya madoa doa wanaweza sasa inaweza kugeuka chanzo cha mapato na sehemu ya chakula bora kwa familia.
Leo ningependa niingie ndani kuwa nini hasa tofauti ya mayai ya kware na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Swhl3CwEXUY/VS51uZaAw_I/AAAAAAAAr8w/alxdMUOez-Q/s72-c/mayai%2Bya%2Bkware.jpg)
Dawa ni Kuacha Ngono, Mayai ya Kware Hayatibu UKIMWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Swhl3CwEXUY/VS51uZaAw_I/AAAAAAAAr8w/alxdMUOez-Q/s640/mayai%2Bya%2Bkware.jpg)
Nilishangaa zaidi kusiki eti dozi yake ni mayai matano kwa siku kila siku na baada ya kutumia...
10 years ago
Dewji Blog08 May
Faida za Ufugaji: Kware anaweza kuokoa maisha, kumaliza umasikini
Ndege aina ya Kware akiwa na mayai yake.. Wafugaji wa kuku nchini Tanzania, baadhi yao hivi sasa wamegeukia ufugaji wa ndege aina ya kware kutokana na umaarufu wa viumbe hao jamii ya ndege. Ndege huyo mdogo amekuwa maarufu kutokana na ubora wa mayai yake yanayodaiwa kuboresha afya ya watu wenye magonjwa. Ndege hao hawahitaji uwe na eneo kubwa ili uwafuge, tofauti na kuku ambao huchukua eneo kubwa.
Viota vya kware vinaweza kuwekwa vibarazani. Mkazi wa Tegeta Kibaoni, Dar es Salaam,...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Wafugaji samaki sasa wapewa somo la ufugaji bora nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VWxnGNC2ztE/XmIy33k_hiI/AAAAAAALhd4/nWHg9nhUBakQkoDT3sskKEkg_EjrBQq0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Mayai ya kwale kama kikombe cha Babu, Serikali iko kimya
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Waridi wa BBC: Dada wawili wanaokula sabuni kama chakula
10 years ago
VijimamboHABARI NDIYO HII NO SHULE NO CHAKULA KAMA UKUBARI KUUZA GENGE LANGU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pMs8nstE1MI/Xq6dLi2pX7I/AAAAAAALo8E/2Si1BxuhzbUxnwmzIM6XWI9CHvhksyEkQCLcBGAsYHQ/s72-c/short%2Bpapaya%25281%2529.jpg)
RAIS DK.MAGUFULI ASHANGAZWA VIPIMO KUONESHA MAPAPAI, MBUZI, FENESI , KWARE KUKUTWA NA CORONA...ATOA MAELEKEZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pMs8nstE1MI/Xq6dLi2pX7I/AAAAAAALo8E/2Si1BxuhzbUxnwmzIM6XWI9CHvhksyEkQCLcBGAsYHQ/s640/short%2Bpapaya%25281%2529.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KUNA mnganganyiko mkubwa kwenye matokeo ya vipimo vya sampo za Corona.Ndivyo anavyoelezea Rais Dk.John Magufuli baada ya kufanyika kwa uchunguzi kwa kutumia vyombo vya ulinzi na usalama katika Maabara ya Taifa ya Tanzania kuhusu vipimo vya Corona.
Kwa mujibu wa Rais Magufuli katika maabara hiyo iliyokuwa inapima Corona kuna changamoto nyingi za ajabu hasa baada ya kuona kila wanapotoa matoeo basi lazima yawe Positive, positive tu mara nyingi.
Hivyo alipokuwa...