Faida za Ufugaji: Kware anaweza kuokoa maisha, kumaliza umasikini
Ndege aina ya Kware akiwa na mayai yake.. Wafugaji wa kuku nchini Tanzania, baadhi yao hivi sasa wamegeukia ufugaji wa ndege aina ya kware kutokana na umaarufu wa viumbe hao jamii ya ndege. Ndege huyo mdogo amekuwa maarufu kutokana na ubora wa mayai yake yanayodaiwa kuboresha afya ya watu wenye magonjwa. Ndege hao hawahitaji uwe na eneo kubwa ili uwafuge, tofauti na kuku ambao huchukua eneo kubwa.
Viota vya kware vinaweza kuwekwa vibarazani. Mkazi wa Tegeta Kibaoni, Dar es Salaam,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s72-c/Untitled1.png)
SOMO LA UFUGAJI: UZURI WA MAYAI YA KWARE KAMA CHAKULA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV62aijMkmA/U_xEYaqrZXI/AAAAAAAGCcs/29Jo2WOuRwA/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e5XLeDtcRys/U_xEZGSB7bI/AAAAAAAGCc0/HnANso-Dm-g/s1600/Untitled2.png)
Katika siku za hivi karibuni ndege aitwae kware ameanza kuwa ndege maarufu katika baadhi ya wafugaji katika nchi yetu na kwa wale ambao walikuwa wakiwawinda porini enzi hizo bado wana imani kuwa ndege huyu hawezi kufungwa kama hatakimbia basi atajiua, lakini kwa wale wanaotaka kumfuga ndege huyu mdogo mwenye mayai matamu ya madoa doa wanaweza sasa inaweza kugeuka chanzo cha mapato na sehemu ya chakula bora kwa familia.
Leo ningependa niingie ndani kuwa nini hasa tofauti ya mayai ya kware na...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Faida za kiuchumi za ufugaji nyuki
UFUGAJI nyuki nchini hufanyika kwenye misitu na mapori ya akiba na asilimia ndogo hufanyika katika maeneo ya kilimo. Wananchi waishio jirani na maeneo ya hifadhi za misitu na baadhi ya...
11 years ago
KwanzaJamii01 Aug
Tanzanite inaweza kumaliza umasikini Mirerani
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Vyoo nafuu kuokoa maisha ya wanawake
10 years ago
MichuziWATANZANIA DMV WAKUSANYIKA KUOKOA MAISHA YA MWENZAO
Watanzania walioko nchini Marekani, wamechangisha zaidi ya Dola 3,550 kwa ajili ya kumsaidia ndugu Moh'd Said Moh'd anayehitaji kwenda nchini India kwa matibabu.
Akifungua shughuli hiyo iliyofanyika May 17, katika Jimbo la Meryland nchini Marekani na kuzijumuisha jumuiya mbali mbali za Kitanzania, Mwenyekiti wa Jumuiya ya...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Madaktari washirikiana kuokoa maisha ya Pacha walioungana
Timu ya madaktari wa watoto katika hospitali ya rufaa ya Bugando wameungana ili kuokoa maisha ya mapacha walioungana. Mapacha hao wamezaliwa na Elena Paulo, mwenye umri wa miaka 20, Januari 3, mwaka huu katika hospitali ya hospitali ya mkoa ya Mara na baadaye kuhamishiwa katika hospital ya rufaa ya Bugando mkoani Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.
Watoto hao walikuwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja wakati walipozaliwa na walikuwa wameungana vifua na matumbo.
Kwa mujibu wa Dk Festo...
11 years ago
Mwananchi17 May
‘Nahitaji Sh700,000 kuokoa maisha yangu’
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Mtwara wahimizwa kuchangia damu kuokoa maisha
WAKAZI wa mikoa ya Kanda ya Kusini, wamehimizwa kuchangia damu mara kwa mara, ili kuokoa maisha ya wajawazito wakati wa kujifungua na watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Ushauri...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s72-c/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
TPB WACHANGIA DAMU, KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s640/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)