Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzanite inaweza kumaliza umasikini Mirerani

Tanzania ni miongoni mwa nchi ulimwenguni ambazo zimebarikiwa na Mungu kuwa na  utajiri wa maliasili nyingi ambazo zingeweza kusaidia kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja ,eneo husika na Taifa kwa ujumla. Kuna maeneo mengi hapa nchini yamegundulika kuwa na rasilimali adimu kama vile madini lakini ukitembelea maeneo hayo angalia uchumi wa eneo husika utabaini hali ya umaskini imekithiri sio tu kwa wananchi mmoja mmoja bali hata Halimashauri husika inashindwa kupata mapato ambayo yangeweza...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kikwete: Afrika inaweza kupunguza umasikini

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON

RAIS Jakaya Kikwete amesema pamoja na changamoto nyingi ambazo nchi za Afrika zinakumbana nazo, bado kuna uwezekano wa kuupunguza umasikini.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika mkutano unaojadili maendeleo na kumaliza umasikini ulioandaliwa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID).

“Tukiwa na sera sahihi, Serikali kuingilia kati pamoja na ushirikiano na sekta binafsi, inawezekana kuondoa umasikini. Juhudi hizi zikifanikiwa...

 

9 years ago

Michuzi

wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani kupinga kufungiwa migodi yao

Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wanatarajia kuandamana kwa amani ili kupinga migodi yao 19 inayopakana na kampuni ya TanzaniteOne kufungiwa.  Mwanachama wa chama cha wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (Marema) Tawi la Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Omary Mandari akizungumza kwenye mkutano wao ambapo waliazimia kuandamana kwa amani kupinga migodi yao 19 kusimamishwa kufanya kazi. Mwanachama wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Faida za Ufugaji: Kware anaweza kuokoa maisha, kumaliza umasikini

 

Ndege aina ya Kware akiwa na mayai yake.. Wafugaji  wa kuku nchini Tanzania, baadhi yao hivi sasa wamegeukia ufugaji wa ndege aina ya kware kutokana na umaarufu wa viumbe hao jamii ya ndege. Ndege huyo mdogo amekuwa maarufu kutokana na ubora wa mayai yake yanayodaiwa kuboresha afya ya watu wenye magonjwa. Ndege hao hawahitaji uwe na eneo kubwa ili uwafuge, tofauti na kuku ambao huchukua eneo kubwa.

Viota vya kware vinaweza kuwekwa vibarazani. Mkazi wa Tegeta Kibaoni, Dar es Salaam,...

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

11 years ago

Michuzi

MH. SUMAYE ATEMBELEA MIRERANI

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye (katikati) na mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, wakiagana na viongozi wa dini wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati na Usharika wa Purana Mirerani, baada ya kuzindua DVD ya kwaya ya Sauti ya mtu aliaye nyikani ambapo sh18 milioni zilipatikana.Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye (katikati) akinong'onezwa jambo na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, kwenye Kanisa la KKKT Dayosisi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wachimbaji wafa mgodini Mirerani


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WACHIMBAJI wadogo wawili katika mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, wamekufa na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kulipuliwa na baruti wakiwa mgodini. 
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki, alisema tukio hilo lilitokea juzi, saa 7:30 mchana, eneo la Kitalu B, Mirerani, katika mgodi unaomilikiwa na Mike Oscar (34), mkazi wa Sanya Juu, wilayani Siha, mkoani Kilimanjaro.
Imeelezwa kuwa baruti hiyo ilipigwa kutoka katika mgodi unaomilikiwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Uwekezaji ulivyoua Mji wa Mirerani

Mamia wahama, nyumba zabaki magofu, viongozi wa dini walia kukosekana sadaka na robo tatu ya migodi ya wachimbaji wadogo yafungwa.

 

11 years ago

Daily News

Mirerani mineral dealer gets shot


Mirerani mineral dealer gets shot
Daily News
A MINERAL dealer, Mr Daudi Madaha, who specialises with the Tanzanite Gemstones trading, was shot in the chest while relaxing at a drinking pub in the Zaire township of Mirerani mining hills in Simanjiro District. The Manyara Regional Police Commander ...

 

10 years ago

Habarileo

Madini wafikiria kuwasaidia Mirerani

Kamishna wa Madini, Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Paul Masanja WIZARA ya Nishati na Madini inaangalia uwezekano wa kuwafidia wamiliki wa wachimbaji wadogo wa machimbo ya madini ya tanzanite yaliyoko Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara baada ya kuunguliwa kwa kambi zao 16 ya uchimbaji wa madini hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani