Tanzanite inaweza kumaliza umasikini Mirerani
Tanzania ni miongoni mwa nchi ulimwenguni ambazo zimebarikiwa na Mungu kuwa na utajiri wa maliasili nyingi ambazo zingeweza kusaidia kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja ,eneo husika na Taifa kwa ujumla. Kuna maeneo mengi hapa nchini yamegundulika kuwa na rasilimali adimu kama vile madini lakini ukitembelea maeneo hayo angalia uchumi wa eneo husika utabaini hali ya umaskini imekithiri sio tu kwa wananchi mmoja mmoja bali hata Halimashauri husika inashindwa kupata mapato ambayo yangeweza...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Kikwete: Afrika inaweza kupunguza umasikini
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema pamoja na changamoto nyingi ambazo nchi za Afrika zinakumbana nazo, bado kuna uwezekano wa kuupunguza umasikini.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika mkutano unaojadili maendeleo na kumaliza umasikini ulioandaliwa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID).
“Tukiwa na sera sahihi, Serikali kuingilia kati pamoja na ushirikiano na sekta binafsi, inawezekana kuondoa umasikini. Juhudi hizi zikifanikiwa...
9 years ago
Michuziwachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani kupinga kufungiwa migodi yao
10 years ago
Dewji Blog08 May
Faida za Ufugaji: Kware anaweza kuokoa maisha, kumaliza umasikini
Ndege aina ya Kware akiwa na mayai yake.. Wafugaji wa kuku nchini Tanzania, baadhi yao hivi sasa wamegeukia ufugaji wa ndege aina ya kware kutokana na umaarufu wa viumbe hao jamii ya ndege. Ndege huyo mdogo amekuwa maarufu kutokana na ubora wa mayai yake yanayodaiwa kuboresha afya ya watu wenye magonjwa. Ndege hao hawahitaji uwe na eneo kubwa ili uwafuge, tofauti na kuku ambao huchukua eneo kubwa.
Viota vya kware vinaweza kuwekwa vibarazani. Mkazi wa Tegeta Kibaoni, Dar es Salaam,...
9 years ago
Vijimambo28 Sep
Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.
The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...
11 years ago
MichuziMH. SUMAYE ATEMBELEA MIRERANI
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Wachimbaji wafa mgodini Mirerani
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WACHIMBAJI wadogo wawili katika mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, wamekufa na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kulipuliwa na baruti wakiwa mgodini.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki, alisema tukio hilo lilitokea juzi, saa 7:30 mchana, eneo la Kitalu B, Mirerani, katika mgodi unaomilikiwa na Mike Oscar (34), mkazi wa Sanya Juu, wilayani Siha, mkoani Kilimanjaro.
Imeelezwa kuwa baruti hiyo ilipigwa kutoka katika mgodi unaomilikiwa na...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Uwekezaji ulivyoua Mji wa Mirerani
11 years ago
Daily News10 Jul
Mirerani mineral dealer gets shot
Mirerani mineral dealer gets shot
Daily News
A MINERAL dealer, Mr Daudi Madaha, who specialises with the Tanzanite Gemstones trading, was shot in the chest while relaxing at a drinking pub in the Zaire township of Mirerani mining hills in Simanjiro District. The Manyara Regional Police Commander ...
10 years ago
Habarileo15 Mar
Madini wafikiria kuwasaidia Mirerani
WIZARA ya Nishati na Madini inaangalia uwezekano wa kuwafidia wamiliki wa wachimbaji wadogo wa machimbo ya madini ya tanzanite yaliyoko Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara baada ya kuunguliwa kwa kambi zao 16 ya uchimbaji wa madini hayo.