Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MH. SUMAYE ATEMBELEA MIRERANI

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye (katikati) na mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, wakiagana na viongozi wa dini wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati na Usharika wa Purana Mirerani, baada ya kuzindua DVD ya kwaya ya Sauti ya mtu aliaye nyikani ambapo sh18 milioni zilipatikana.Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye (katikati) akinong'onezwa jambo na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, kwenye Kanisa la KKKT Dayosisi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SUMAYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mh. Sumaye akielekezwa na Mhariri Kiongozi wa Global Publishers, Oscar Ndauka, katikati ni Mhariri wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli.
 ….Akisalimiana na Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho ofisini kwake.…

 

11 years ago

GPL

WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE ATEMBELEA CLOUDS MEDIA GROUP LEO


Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akimkaribisha Waziri Mkuu Mstaafu,Mh.Frederick Sumaye alipowasili mapema leo kwenye makao makuu ya ofisi hizo zilizopo Mikocheni jijini Dar,pichani kati anaeshuhudia ni Ofisa Mahusiano wa Clouds Media Group,Simon Simalenga.
 Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media… ...

 

10 years ago

Michuzi

sumaye atembelea oisi za mwakilshi wa kudumu wa tanzania katika umoja wa mataifa jijini New york

 Waziri Mkuu  Mstaafu. Mhe. Frederick Sumaye akiandika  katika kitabu cha wageni wakati alipoutembelea  Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mtaifa, mwishoni mwa wiki,  pembezi yake ni  Mama Ester Sumaye, na Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa. Mhe. Waziri Mkuu Mstaafu , Frederick Sumaye, akiangalia picha za baadhi ya Wawakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa ambao picha zao  zinapamba...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATEMBELEA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA NEW YORK

Mhe. Waziri Mkuu Mstaafu , Frederick Sumaye, akiangalia picha za baadhi ya Wawakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa ambao picha zao zinapamba ukumbi wa Mkutano wa Ofisi ya Mwakilishi wa KudumuMhe. Sumaye na Mama Esther wakipozi katika baadhi ya vivutio vilivyomo katika Ofisi Mpya za Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Jengo la Uwakilishi wa Kudumu lilifunguliwa rasmi mwishoni mwa mwezi March na Mhe. Rais Jakaya Mrisho...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wachimbaji wafa mgodini Mirerani


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WACHIMBAJI wadogo wawili katika mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, wamekufa na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kulipuliwa na baruti wakiwa mgodini. 
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki, alisema tukio hilo lilitokea juzi, saa 7:30 mchana, eneo la Kitalu B, Mirerani, katika mgodi unaomilikiwa na Mike Oscar (34), mkazi wa Sanya Juu, wilayani Siha, mkoani Kilimanjaro.
Imeelezwa kuwa baruti hiyo ilipigwa kutoka katika mgodi unaomilikiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Uwekezaji ulivyoua Mji wa Mirerani

Mamia wahama, nyumba zabaki magofu, viongozi wa dini walia kukosekana sadaka na robo tatu ya migodi ya wachimbaji wadogo yafungwa.

 

11 years ago

Daily News

Mirerani mineral dealer gets shot


Mirerani mineral dealer gets shot
Daily News
A MINERAL dealer, Mr Daudi Madaha, who specialises with the Tanzanite Gemstones trading, was shot in the chest while relaxing at a drinking pub in the Zaire township of Mirerani mining hills in Simanjiro District. The Manyara Regional Police Commander ...

 

10 years ago

Habarileo

Madini wafikiria kuwasaidia Mirerani

Kamishna wa Madini, Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Paul Masanja WIZARA ya Nishati na Madini inaangalia uwezekano wa kuwafidia wamiliki wa wachimbaji wadogo wa machimbo ya madini ya tanzanite yaliyoko Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara baada ya kuunguliwa kwa kambi zao 16 ya uchimbaji wa madini hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Uwekezaji ulivyoua Mji wa Mirerani-2

Sheikh Mohammed anasema serikali ndio inawanyanyasa wananchi wake kwa kupitisha sheria ambazo zinawazuia kunufaika na rasilimali za taifa lao ambazo Mungu amewapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani