‘Nahitaji Sh700,000 kuokoa maisha yangu’
Ugonjwa wa saratani unazidi kushika kasi kila kukicha hapa nchini. Pia umegharimu maisha ya watu wengi kutokana na huo ugonjwa bado haujapatiwa tiba madhubuti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rSmW9sdQNww/VN7cfQvBmEI/AAAAAAAAoTo/_JXXxBt_fdI/s72-c/MUTUZ.jpg)
Le Mutuz Anatafuta Mke 'Kwa Kweli Nahitaji WIFE Baby U Know Nahitaji Bonge la Mke, Niombeeni '
![](http://3.bp.blogspot.com/-rSmW9sdQNww/VN7cfQvBmEI/AAAAAAAAoTo/_JXXxBt_fdI/s640/MUTUZ.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Vyoo nafuu kuokoa maisha ya wanawake
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Mtaji wa Sh100,000 unaolenga kuokoa mamilioni
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s72-c/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
TPB WACHANGIA DAMU, KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s640/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
10 years ago
MichuziWATANZANIA DMV WAKUSANYIKA KUOKOA MAISHA YA MWENZAO
Watanzania walioko nchini Marekani, wamechangisha zaidi ya Dola 3,550 kwa ajili ya kumsaidia ndugu Moh'd Said Moh'd anayehitaji kwenda nchini India kwa matibabu.
Akifungua shughuli hiyo iliyofanyika May 17, katika Jimbo la Meryland nchini Marekani na kuzijumuisha jumuiya mbali mbali za Kitanzania, Mwenyekiti wa Jumuiya ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Mtwara wahimizwa kuchangia damu kuokoa maisha
WAKAZI wa mikoa ya Kanda ya Kusini, wamehimizwa kuchangia damu mara kwa mara, ili kuokoa maisha ya wajawazito wakati wa kujifungua na watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Ushauri...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Madaktari washirikiana kuokoa maisha ya Pacha walioungana
Timu ya madaktari wa watoto katika hospitali ya rufaa ya Bugando wameungana ili kuokoa maisha ya mapacha walioungana. Mapacha hao wamezaliwa na Elena Paulo, mwenye umri wa miaka 20, Januari 3, mwaka huu katika hospitali ya hospitali ya mkoa ya Mara na baadaye kuhamishiwa katika hospital ya rufaa ya Bugando mkoani Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.
Watoto hao walikuwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja wakati walipozaliwa na walikuwa wameungana vifua na matumbo.
Kwa mujibu wa Dk Festo...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mke wa Rais ahimiza kliniki kuokoa maisha ya wanawake
MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchini kuendelea kupunguza vifo wakati wa kujifungua kwa kuhudhuria kliniki pindi wanapogundua kuwa ni wajawazito.