Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Linex: Mimi sijawahi kua mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta Mungu ananiona

Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wa vilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima atajihusisha na umalaya, kitu ambacho si kweli kwasababu hiyo ni tabia ya mtu binafsi. Linex Sunday Mjeda leo ameamua kujibu swali ambalo […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Mwana FA Ft Ali Kiba — Kiboko Yangu

Video mpya kutoka kwa Mwana FA akismhirikisha Ali Kiba wimbo unaitwa “Kiboko Ynagu” video imeongzwa na Kevin Bosco Jr kutoka Kenya.

 

10 years ago

Bongo5

Mike Tee ndiye aliyeandika script ya video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA

Bila shaka unaikumbua video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA na Alikiba iliyofanyika nchini Kenya na kuongozwa na Kevin Bosco Jr na kutoka January 2015. Script ya video hiyo iliandikwa na rapper Mike Tee ambaye pia ana vipaji vingine vya kutengeneza muziki pamoja na kuongoza video za muziki. Mike Tee a.k.a Mnyalu ameelezea jinsi ilivyokuwa […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mwana FA f/ Alikiba — Kiboko Yangu

Mwana FA ameachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba ‘Kiboko Yangu’. Isikilize hapa.

 

10 years ago

Jamtz.Com

10 years ago

Bongo5

Collabo ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ yanukia

Kabla ya kuachia ‘Mfalme’ aliyomshirikisha G-Nako, Hamis Mwinjuma aka Mwana FA alikuwa amepanga kutoa wimbo aliomshirikisha Alikiba, ‘Kiboko Yangu’. Na pia ‘Kiboko Yangu’ ndio wimbo alioanza kurekodi kwenye studio za MJ Records chini ya producer Marco Chali lakini aliamua kuanza kuachia ‘Mfalme’ iliyotayarishwa na Nahreel. Hata hivyo kwa mujibu wa tweets za Mwana FA na […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Yangu ya Pili na Van Vicker Hapa Bongo,Yote Itakuwa ya Kiingereza

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amesema filamu ya pili atakayofanya na muigizaji kutoka Ghana, Van Vicker itakuwa ya Kiingereza pia.


Wema ameiambia Bongo5 kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuifanya filamu hiyo iwe ya kimataifa zaidi.
“Atakuja atakaa kama for three weeks, tutafanya audition, kwasababu tunataka kufanya movie ambayo itakuwa ni straight English. Tutaweka subtitles za Kiswahili lakini tutakuwa tunaongea lugha ya Kiingereza,” alisema Wema.


“Lengo ni kuwa international, kutoka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Baba Yangu ni Handsome!!

Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa na Baba yake ‘Mzee Michael’ kipindi akiwa mtoto na kuiandikia maneno kuwa yupo na baba yake mtanashati ambae amezaa chema na kujinasibu kuwa wanafanana.

"Enjoy na Throwback, Sina cha maana wala Jipya la ku post..! My handsome daddy...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani